Msaada: Gari ndogo inayotumia diesel

Msaada: Gari ndogo inayotumia diesel

mabwiku

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
447
Reaction score
390
Habari wapendwa.
Samahani naombeni msaada tafadhali, naitaji kununua gari ndogo ambayo inatumia mafuta ya diesel, katika pita pita zangu kuna mtu kanambia kuwa kuna hizi beetle new model nikaambiwa pia na vw golf bt sijajua ni model gani, naomba msaada sababu nahitaji kununua na bajeti yangu ndogo, hivyo nikipata kwa mtu sio mbaya, pili sehemu niliyopo kupata dieseli ni rahisi sana kuliko petrol.
 
Na wewe pia nakushaur tafuta gari inaitwa ford figo innakufaa ziko za diesel na petrol
 
vitz pia zko za diesel kuna moja ina cc 1400 inaenda had 22km per litre
 
vigar vdogo vya diesel vitamu sana hcho ki ford figo kimjin mjin 22.6km/l, high way 25.5km/l .

Kama unajua mkuu Show room gani bongo zinapatikana hizi gari nimejaribu kama sehem kadhaa hivi sijaziona kabisa..
 
Agiza toka Uingereza, wao ndo watumiaji wa magari madogo ya diesel.

Kitu kingine, UK hawatumii left hand kama alivyosema Mtanganyika hapo juu. So usihofu kuhusu left hand.
 
Challenge Kubwa utakayoipata itakuwa ni bei, gari ndogo za diesel mara nyingi zinakuwa ni special order , hivo ni adimu , nadra sana kuzikuta zimetembea km chache,
Ila kwa upande wa ulaji wa mafuta ziko vizuri sana kuna moja Vw wanayo inakwenda km100 kwa Lita 4
 
hv ni kwel gari zinazotumia diesel zinachelewa kuchanganya mwendo?
 
Nenda kampala uganda zipo nyingi sana hlf bei ya kawaida tu tatizo ushuru wa bongo ndo utakoma
 
ukiangalia mfano vitz ya diesel inachanganya kuliko vitz za petrol kwa ajil ya torque yake kubwa kutoka 0_100kph vitz ya disel inatumia sekunde chache zaid ata top speed yake ni kubwa inafka 195kph
 
kwa hapa bado cjajua. na je kuagiza vp?

Nlitaka nifanye comparison ya bei au gharama zake ndani na nje ya nchi, pia Tra bado hwajaweka hii gari kwenye calculator yao ndio mana nliona ugumu kidogo
 
Back
Top Bottom