MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
go to the water. em gugo hiyo kituWakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili ya Bata Kama wanavyofanya watoto wa mjini.
Vp na gharama ya totoz mbili tatu zakunisindikiza, zile ambazo unakuta zimejiachia nguo za ufukweni wakikata mauno , wakiwa wanarukaruka, pia nitahitaji huduma ya Picha professional. Boti liwe kubwa na jeupe. Vinywaji nitamchangia mshikaji wangu huwa anapiga hizo mambo.
Yuko sahihiDuniani tunapita. Kiwanja cha nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli mkuuDuniani tunapita. Kiwanja cha nini? 🤣🤣🤣
Nipo tayari kuchangia nusu ya gharama ili iwe bonge la party. Tena tuwaalike wale warembo walio shusha story zao za kuliwa kimasikhara waje waburudike nasiWakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili ya Bata Kama wanavyofanya watoto wa mjini.
Vp na gharama ya totoz mbili tatu zakunisindikiza, zile ambazo unakuta zimejiachia nguo za ufukweni wakikata mauno , wakiwa wanarukaruka, pia nitahitaji huduma ya Picha professional. Boti liwe kubwa na jeupe. Vinywaji nitamchangia mshikaji wangu huwa anapiga hizo mambo.
Hahahaaa na mm nakuunga mkono mdau kula maisha..watu walisema dunia mapito au dunia njia tunapita tu sasa kama dunia njia kwann ujenge nyumba njiani...ww kula maishaaWakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili ya Bata Kama wanavyofanya watoto wa mjini.
Vp na gharama ya totoz mbili tatu zakunisindikiza, zile ambazo unakuta zimejiachia nguo za ufukweni wakikata mauno , wakiwa wanarukaruka, pia nitahitaji huduma ya Picha professional. Boti liwe kubwa na jeupe. Vinywaji nitamchangia mshikaji wangu huwa anapiga hizo mambo.
Kujenga ni uoga wa maisha eti....!!!Hahahaaa na mm nakuunga mkono mdau kula maisha..watu walisema dunia mapito au dunia njia tunapita tu sasa kama dunia njia kwann ujenge nyumba njiani...ww kula maishaa
Slipway ngozi nyeusi za kuhesabu sijui kwaniniNenda Slipway mpakaYatch club utapata muongozo
!!?!!?!?!!!????!???😇😇😇😇Mkuu gharama ni hizi hapa Zanzibar
Day Charter – Tumbatu Island: $1,000.00 up to 10 pax, add $25/person if more than 10 pax.
Full Day Charter – Mnemba Island: $1,800.00 up to 10 pax, add $25/person if more than 10 pax.
Nungwi Bay Sunset Cruise: $100.00 per person (minimum 5 pax)
Sunset Dinner Cruise: $200.00 per person (minimum 4 pax)
SPECIAL! 24hr Overnight Yacht Cruise – Mnemba Island: $2,000.00 (Max 8 pax
Luxury Yachts Tanzania & Zanzibar Transfers
Stone Town – Nungwi/Kendwa: $2,500.00 (maximum 12 pax)
Stone Town – Dar Es Salaam: $3,500.00 (maximum 12 pax)
Dar Es Salaam – Nungwi/Kendwa: $3,500.00 (maximum 12 pax)