Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nina mgonjwa na tumepewa referral kwenda Bugando. Ni wazi tutalazwa huko. Gharama za kulazwa kwa siku ni kiasi gani? Vipi vipimo kama x-ray na vinginevyo? Kumwona daktari bingwa je? Huduma zao zikoje au na penyewe ni mpaka umjue mtu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati wapendwa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati wapendwa.