Habari ya leo wanaJF
Naomba msaada katika gharama za kupata hati miliki ya ardhi (Tittle Dead). Maana mi nimeendaa kwenye ofisi za wilaya hapa
karatu (Arusha) nimetajiwa kama Tsh 1,400,000/= na bado naambiwa kuna gharama za kule KIlimanjaro (MOshi) ndiyo wanatoa hizo hati.
Nawasilisha.
.
Tittle dead?
.
naomba nisaidie inaitwaje kwa kiingereza?