mwakaf
Member
- Jan 15, 2012
- 54
- 9
Habari ya leo wanaJF
Naomba msaada katika gharama za kupata hati miliki ya ardhi (Tittle Deed). Maana mi nimeendaa kwenye ofisi za wilaya hapa
karatu (Arusha) nimetajiwa kama Tsh 1,400,000/= na bado naambiwa kuna gharama za kule KIlimanjaro (MOshi) ndiyo wanatoa hizo hati.
Nawasilisha.
Naomba msaada katika gharama za kupata hati miliki ya ardhi (Tittle Deed). Maana mi nimeendaa kwenye ofisi za wilaya hapa
karatu (Arusha) nimetajiwa kama Tsh 1,400,000/= na bado naambiwa kuna gharama za kule KIlimanjaro (MOshi) ndiyo wanatoa hizo hati.
Nawasilisha.