Si mchezo aisee, hongera sana! Yawezekana mtaji huo unao ila ujipange sana ili upenye katika soko ili kuuza huo mzigo wote kwa siku (kumbuka kama uta-process na ku-pack locally, unga unatakiwa usichukue muda mrefu kabla haujamfikia mlaji kwani unaweza kuharibika na biashara yako kufa)!Kuanzia tone 10 na kuendelea
Njoo utuone tukuandikie Bussness Plan Mkuu. Tunakupa gharama, namna ya uzalishaji, faida, output na projected outcomesHabari wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika harakati za kuweza kujiweka kiuchmi na kuyasongesha maisha mbele, nimeona niwekeze tena kwenye kufungua mashine ya kukoboa na kusaga nafaka, sasa nimeona nilete huu mjadala humu manake kuna watalamu wa haya mambo, kama wapo wanaoweza kudadavua watusaidie, pengie hata wengine wapo wenye uhitaji wa hii biashara, garama zake zote mpaka inakamilika msaada ,
Karibuni
By
Young
Dimaa.
aje akuone wapi...mkuu wakati mtu kaomba msaada hapa....nyie ndio watu manaoishi kwa ujanja ujanja....Njoo utuone tukuandikie Bussness Plan Mkuu. Tunakupa gharama, namna ya uzalishaji, faida, output na projected outcomes
Kutoa utaalam umekuwa ujanja ujanja?... Mimi kazi yangu ni kutoa utaalam wa jambo fulaniaje akuone wapi...mkuu wakati mtu kaomba msaada hapa....nyie ndio watu manaoishi kwa ujanja ujanja....
asa kwanini usiweke tangazo lako...huko kwengine....na kwanini usitoe uo utaalamu wako hapa mpaka huyo alieomba akufuate...acha ujanja ujanja maisha ayaendi hivyo...Kutoa utaalam umekuwa ujanja ujanja?... Mimi kazi yangu ni kutoa utaalam wa jambo fulani
Mkuu umesema set 1 ni sh. 2.5 ml , sasa inakuwaje set 2 tena mil 10?.MIMI NINAZO MACHINE ZA KUSAGA(BRAND NEW) SET 2 ZA KUSAGA NA SET 2 ZA KUKOBOA.NAOMBA NIWAUZIE WALE WANAOTARAJI KUANZA HII BIASHARA.NAZIUZA KWA BEI REASONABLE SANA IKILINGANISHWA NA BEI YA SOKO DUKANI KWA SASA.BEI YA SET MOJA DUKANI KWA SASA NI SH MIL 3,700,000(IKIWA COMPLETE).MIMI NITAUZA SET MOJA KWA SH 2,500,000 TU.BEI HIYO KWA SET MOJA NI SAWA EITHER KAMA NI YA KUKOBOA AU KUSAGA.INA MAANA KWA SET 2 KUKOBOA NA 2 KUSAGA NITAUZA KWA JUMLA SH MIL 10 TU.HIZI MACHINE HAZIJAWAHI TUMIKA POPOTE.MIMI NILIZINUNUA ILI NIANZE MRADI WA KUSAGA ILA NIKAKOSA MTU WA KUSIMAMIA PROJECT HUSIKA.MACHINE HIZI ZIPO DSM-MBEZI BEACH.MAWASILIANO 0767 61 00 68.KARIBUNI.
Anazo set mbili kwa kila moja, za kukoboa 2 na kusaga 2, hivyo 2*2*2,500,000=10,000,000/-Mkuu umesema set 1 ni sh. 2.5 ml , sasa inakuwaje set 2 tena mil 10?.
Aisee hizi zitakuwa ni mchina sidhani kama zitahimili kupiga mzigo tani10 daily ukarudisha installation costs na kuanza kupata faida lau kwa miaka3 tu!MIMI NINAZO MACHINE ZA KUSAGA(BRAND NEW) SET 2 ZA KUSAGA NA SET 2 ZA KUKOBOA.NAOMBA NIWAUZIE WALE WANAOTARAJI KUANZA HII BIASHARA.NAZIUZA KWA BEI REASONABLE SANA IKILINGANISHWA NA BEI YA SOKO DUKANI KWA SASA.BEI YA SET MOJA DUKANI KWA SASA NI SH MIL 3,700,000(IKIWA COMPLETE).MIMI NITAUZA SET MOJA KWA SH 2,500,000 TU.BEI HIYO KWA SET MOJA NI SAWA EITHER KAMA NI YA KUKOBOA AU KUSAGA.INA MAANA KWA SET 2 KUKOBOA NA 2 KUSAGA NITAUZA KWA JUMLA SH MIL 10 TU.HIZI MACHINE HAZIJAWAHI TUMIKA POPOTE.MIMI NILIZINUNUA ILI NIANZE MRADI WA KUSAGA ILA NIKAKOSA MTU WA KUSIMAMIA PROJECT HUSIKA.MACHINE HIZI ZIPO DSM-MBEZI BEACH.MAWASILIANO 0767 61 00 68.KARIBUNI.
Ukitaka za mchina ambazo zinazilisha 10t ujipange na pesa yake sio mchezo mchezo almost $40000-50000 CIF price. Na inakuwa turnkey project na ni automatic machine.Aisee hizi zitakuwa ni mchina sidhani kama zitahimili kupiga mzigo tani10 daily ukarudisha installation costs na kuanza kupata faida lau kwa miaka3 tu!
Mashine jiwe ni sido wana vinu vya uhakika imara na madhubuti kwa heavy duty.
Mleta mada cheki na SIDO if your project is for long run.