Msaada; gharama za kukata bima ya pikipiki.

Msaada; gharama za kukata bima ya pikipiki.

Iko hivi mkuu, pikipiki ya matumizi binafsi (private) 3rd party

50,000x18%=9,000
50,000+9,000 =

50,000/= Premium
9,000/= 18% VAT
Total 59,000/=

Bodaboda 50,000+15,000 =
65,000x18%= 11,700

50,000/= Premium
15,000/= 1seat
11,700/= 18%VAT
Total 76,700/=
Kiukweli jf, inaturahisishia maisha sana, thanks mkuu
 
Iko hivi mkuu, pikipiki ya matumizi binafsi (private) 3rd party

50,000x18%=9,000
50,000+9,000 =

50,000/= Premium
9,000/= 18% VAT
Total 59,000/=

Bodaboda 50,000+15,000 =
65,000x18%= 11,700

50,000/= Premium
15,000/= 1seat
11,700/= 18%VAT
Total 76,700/=
Nataka kununya pikipiki kesho, naonba juzwa haya boss,
1. io Bima ina nisaidia nini mimi kama mtumiaji wa pk pk, au nikama za kwenye Magar,
.
2. Vitu gani vya kukagua ubapokua una nunua pkpk kwa mtu (iliyo tumika)
.
3. Mambo gani yanipasa kuya zingatia, ninapo amuakutumia pk pk (boxer) kama usafili wangu bibafsi, mfano sheria na usumbufu huu wa awa trffic wetu..
 
Back
Top Bottom