Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
Umeshaoa/olewa?Wakuu hali zenu,
Nimechanganyikiwa kidogo baada ya mfululizo wa matangazo ya magodoro. Lipi ni bora zaidi? Nataka nitafute 6x4, sasa sijui lipi litanifanya niote vizuri.
Shukran!
mkuu, bado bachelor.Umeshaoa/olewa?
Nunua godoro jembamba lisilo na sponji nyingi.
Hilo halichoki haraka na linakunjika kadiri utakavyo
shukran mkuu. Sasa, brand gani niiendee? Maana kuna kina tanfoam, sijui wengine quality... Mara magodoro dodoma. Mara lile la babu mpaka mjukuu. Hapo ndo nachanganyikiwa sasa.
Dodoma is the best!mkuu, bado bachelor.
Godoro chapa mtu ndo mpango mzima
ahaa, nimekupata Mkuu nashkuru sana. Ngoja niwasome wadau hapa, najua nitalipata la dhati.nunua lile ulipendalo kwa dhat!
Godoro chapa mtu ndo mpango mzima
Dodoma is the best!
ukinunua unikaribisha qfl ndio burudan
Mwe mwe!
Kukukaribisha x qfl = burudani.
Kama nimekuelewa vizuri sijui?
Mkuu chukua qfl magodoro dodoma. ni magodoro bora. mi mwenyewe ndo natumia. hayo mengine biashara tu. mia