Tanfoam ndio kabali yao hata bei yake imesimama.Mkuu chukua qfl magodoro dodoma. ni magodoro bora. mi mwenyewe ndo natumia. hayo mengine biashara tu. mia
Jamani naomba kuuliza eti mafuta ya breki ni dawa ya m'ba???Ipo siku wataulizia hadi miswaki ya mtumba
Mi nilijua Godolo QFL dodoma ndio imara kupita yote.Tanfoam ndio kabali yao hata bei yake imesimama.
Naona fedha zimekutembelea mkuu ndio maana matangazo mengi yanakuchanganyaWakuu hali zenu,
Nimechanganyikiwa kidogo baada ya mfululizo wa matangazo ya magodoro. Je, lipi ni bora zaidi? Nataka nitafute 6x4, sasa sijui lipi litanifanya niote vizuri.
Shukrani
Nimewahi kushuhudia mara kadhaa watu wakitumia kujitibu ila tatizo likizidi uwahi hospital mkuuJamani naomba kuuliza eti mafuta ya breki ni dawa ya m'ba???
Yanatengenezwa Arusha, yako vizuri sana.Mi nilijua Godolo QFL dodoma ndio imara kupita yote.
Kumbe kuna Tanfoam, hilo sijahi kulisikia.
Hii Tanfoam yanatengenezwa hapa nchini au yanaingizwa toka nje.
Hayo takataka sina hata hamu nayo.... Mwaka tu halina hata furaha kulaliaGsm .