Msaada: Godoro gani zuri?

Msaada: Godoro gani zuri?

Mkuu TANFOAM ndio mwisho wamatatizo'' ila bei yake andaa mara mbili na nusu ya Pesa uliyotumia kununua hilo godoro lako la sasa!

Kwamsaada zaid nipm maana hizo ndio shughuli zangu!
 
yale huwaga ni full yani pamoja na kitanda chake ila bei yake sasa inabidi ujipange godoro lina spring kitanda nacho kina spring.

Acha yale ya sauz,yale ni Milion na point, mi naongelea haya haya ya bongo, sijui Vita, au Magodoro dodoma lakini ya spring.
 
Nikifika Home nitakujibu,nimesahu jina,ila ni la ukweli!mrejesho ni Vita Raha garantii miaka 3!godoro zuri
 
godoro dodoma ndio mwisho wa matatizo yko huo ndo ukweli km vp ni pm nikupe namba ya wakala kwan wengine wanachakachua bt hilo utalipata kutoka kiwandan
 
Newazz
Tanfoam ndio godoro ninaloweza kukuhakikishia ni zuri kushinda yote, mie nilinunua tanfoam 5 * 6 nilienda kulichukua arusha 2003 huwezi baada ya kutaabika amini mpaka leo ninalo jipya kabisa na hata mpinzani akiwa na 120kg wala halijawahibonyea, ninayo pia la qfl - dodoma 3 niliyanunua mwezi wa tano kwa ajili ya vijana ni bure kabisa, yako kama beseni la kuoshea mtoto nakushauri nunua tanfoam na wala huta jutia pesa yako
 
Nimenunua godoro si zaidi ya miezi minne iliyopita la banco , lile la size ya mwisho. Niliamini Super banco ni zuri na wametoa guarantee ya mwaka. Lakini, sasa hivi ni chanzo cha kuamka shingo au mwili unauma kwani , godoro linabonyea chini.

Naomba uzoefu wa magodoro mengine, au ni spring mattress tu??

simmons
 
QFL, nina mwaka wa nane sijaona dalili ya kutitia
 
Back
Top Bottom