inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Wadau najua humu wapo watalaam,dada mmoja hajaona siku zake leo siku ya 35,ila amepima na UPT mara mbili haionyeahi mimba.Hili limekaaje.Kawaida ya mzunguko wake ni ni 32_35
Watu tunapitisha hadi miezi 5.hebu aache utani..au ndo kavunja ungo recently
Wadau najua humu wapo watalaam,dada mmoja hajaona siku zake leo siku ya 35,ila amepima na UPT mara mbili haionyeahi mimba.Hili limekaaje.Kawaida ya mzunguko wake ni ni 32_35
Wadau najua humu wapo watalaam,dada mmoja hajaona siku zake leo siku ya 35,ila amepima na UPT mara mbili haionyeahi mimba.Hili limekaaje.Kawaida ya mzunguko wake ni ni 32_35