Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Safari ya kurudi kwenu Temeke imekaribia, Tehe tehe tehe tehe
 
Achana nae mwaya!!...... Mwanaume Limuhogo, kibamia cha nini??!.........Rudi zako Temeke mwaya!
 
Naona wewe shukrani yako iko mbali sana.Kwa hiyo ninakushauri umuache huyo kibopa ujirudie Temeke kwenu kwenye mishumaa na kuachana na bangaloo lenye CCTV.Ujue utapoteza na hiyo miradi ukiyonayo.
 
Hakuna mtu aliyee jaliwa kila kitu chini ya jua so fanya maamuzi ktk selkal ya kichwa chako
 
Ni sheedah

Ngoja wengine waendelee ku comment nilete uzi wa dushe sasa maana hapa sipati msaada mnakimbilia kwenyw vitu na kuhonga
Shogaangu kabla ya kutaka ushauri jengewa nyumba kwanza we vepee aseee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…