miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Ahahaha na bado tutawanyoosha tu
ha haha akijakujua atakuchukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha na bado tutawanyoosha tu
MOYO MASHINEE - BEN PAULWanawake sijui hata mnataka nini.ukikuta msela ana mguu wa mtoto ila hana hela mnakimbia.
Ukimkuta mwenye pesa ila kibamia shida sana. Je mnataka nini nyie watu?
Kweli kabsaaaTena warefu ndio wengi wana vibamia sasa.
Mjomba unaishi Dar au?!Oysterbay Nyumba ya Dollar 1,000 ni uongo labda useme ni Servant kota au hiyo obey iwe pale Namanga kwa Nyuma kule bondeni. Chumvi Nyingine hapo kwenye Mengi ungesema huyo jamaa yako Kimwaga ana pesa lakni hawezi mfikia Mengi.
Bro hayo matukio ni ya uongozi wa karne ya 4 sio wa karne ya sasa bruh!Mi huwa hii lugha ya kibamia siielewi mwenzenu, ishu ni kibamia au ishu ni kushindwa kukitumia kibamia chake? Kama unaweza kuwa satisfied na kidole why kibamia muweke kwenye fikra wakati tendo at least uridhike kisha kula hela Mama mtaani kugumu huku balaa Yani ulivyokuwa unasimulia kuna wenzako damu simewasisimka walitamani kukuambia hata Hicho kibamia kiondoke aje hivyo hivyo na hela zake tu
Che majangaAmpe 0713......
Me nadhani wewe unakibamia unatetea team kibamia wenzioYawezekana niyakawaida nawala sio ndogo kama unavyotuaminisha ila wewe ndio ukawa unabwawa kubwa
Muhusika aje JF ana njaa gani labda?! Kwendraaaaa! Unatafuta kiki?! Poyeeee ushachelewaMaku nakupa fedha unakuja kubwabwaja huku mtandaoni
Dah huyu ni mtoto wa dini hawezi *****Mwambie atoe nyuma
Che! Arudi Temeke kwenyw kibatari sio?!mwambie aangalie kipaumbele chake..kama kipaumbele chake si pesa basi akatafute wengine watakaokidhi matakwa yake maana si vizuri kuishi kwa majuto.!!
kwani hukunogewa unataka kuniambia hivyo?Hivi binamu mbona unapenda kunisingizia lakini?
Ngumu kumeza hana njaa mpaka aje JFha haha akijakujua atakuchukia
[emoji134] [emoji134] [emoji134]kwani hukunogewa unataka kuniambia hivyo?
He yamekuwa hayo tena jamanBro hayo matukio ni ya uongozi wa karne ya 4 sio wa karne ya sasa bruh!
Mmh we acha tu msiba sikia kwa jirani yako
Che majanga
Me nadhani wewe unakibamia unatetea team kibamia wenzio
Muhusika aje JF ana njaa gani labda?! Kwendraaaaa! Unatafuta kiki?! Poyeeee ushachelewa
Dah huyu ni mtoto wa dini hawezi *****
Che! Arudi Temeke kwenyw kibatari sio?!
Kweli Wa Tz mna roho mbayaa
Mfuate bungeniKwa uandishi huo,bila shaka una elimu ya Bashite.
Tamaa mbele mauti ..... cheki sasa umegeuka mfungwa[emoji23]Naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa
NAZI MTARONI:
Yani Money Penny hapa ninashida ya milele
Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo naenda kupeleka risiti za malipo ya kampuni nayofanya kazi
Kibopa sijui ndio ufisi akanitamani au akanipenda anajua mwenyewe.
Kaniomba no yangu nikamkazia, akanifuatilia mpaka kanipata. Akanipandia hewani me sijui hili wala lile nikamsikiliza mpaka mwisho
Nikamwambia hautaniweza bruh! Me mtoto wa kishua (hapo namdanganya kumbe me mtoto wa temeke)
Oh ntakuweza na nini, nikamwambia sawa nataka kuona show zako kabla ya uzinduzi. Kukata simu mil 1 hiyo tigo pesa ndani ya siku 5 nina mil 5, kila siku zinarushwa tu kama DJ khalid alivyokuwa anamrushia demu wake
Weekend natumiwa tena nikaona sasa hapa labda penyewe. Tukakutana Sea Cliff mjeda mzuuuriii mreeeefu, tukala lunch skunyingine dinner skunyingine beach party, skunyingine white party, nikadondoka Zari Party ya mwaka juzi ile 2014 kama sio 2015 mjeda analipa kila kitu me kwetu temeke hapoo
Basi kwa zile show nyingi zaki volcano, nikapandisha manyanga next level
Yeleuuuwi kufika Kunduchi Beach Hotel, me nishakolea Tipsy sio kitoto, kufungua bonet ya mbele mamamamamamamamamamamams anajisemeaga mbwiga wa clouds fm mamamamamamamama, mbwiga niaaaaajeee nikadhania nimeona vbaya labda zile pombe
Nikaenda kunawa uso, nikakaa kwenye choo mjeda anaita honney njoo buana nakusubiri kurudi, kha! KIBAMIA CLASSIC BABY
Nikijiangalia me mwenyewe nina mzigo balaa ni sawa na kumwaga chumvi baharini
Sasa kwasababu yule bwana keshanisherehesha ikabidi nikubali, kwenye kuandaa demu na mambo ya romance ni noumer lakini kwenye mechi buanaaa ni sheeedah!
Yani ikabidi tu niwe najiliza akojoe fasta tulale maana ananikera tu na kunichosha, hakukuchi wala nini mwenyewe anaona siiiifaaa! Kila saa anataka turudiane. Huu mwaka wa 3 nipo nae lakini sufuriii yani basi tu
Mjeda ananipenda mbayaaa, afu ana mawe hatari, Mengi atasubiri miaka 1000 kumfikia!
Money Penny nisaidie nafanyaje?! Maisha yangu kayabadilisha yeye sasa hivi nimepangiwa appartments oysterbay kwa mwezi dola 1000, lakini raha alioiweka Mungu siipati kabisaaa,
Mungu fundi sawa lakini wengine nahisi amewaoneaaa. Hapa nilipo nimewekewa mpaka body guard ananilinda usiku na mchana, gadame, ku cheat nahisi hakunaga!
Simu nimekuwa Tracked zoteee mazungumzo na watu labda kama hivi nimeonana na wewe tunaongea nje ya nyumba, CCTV kamera kibaaaao yani ni kerooo
Kazi nimeachishwa nimefunguliwa biashara ila kusema kweli Mungu jaman hapa amenionea sina rahaaa bora ningekuwa bikra basi lakini siooo nakumbukaje sasa mijeda yangu yenye madusheee?!
Ndoorooboooee
Jamani msaada tunaomba msaidieni Nazi Tutani
Maana hii kesi ya Mungu Muumba me imenishindaaaaa!
Bei za Pango hapa umefika... Hiyo obey yako ndio nakuambia ni servant kota kwa bei ya dollar bukuMOYO MASHINEE - BEN PAUL
Kweli kabsaaa
Mjomba unaishi Dar au?!
Upanga Appartment ni dola 2000 mpaka 2500 itakuwa Obey bro?!
Kwahiyo kwako wewe kupangiwa servant cota unaumia sana kichwa au?! KiruuBei za Pango hapa umefika... Hiyo obey yako ndio nakuambia ni servant kota kwa bei ya dollar buku
Msaada gan anataka mwambie amuache kibopa akatafute mwenye hogo arudishwe temeke
haya sasa wenye madushe yao nafasi ndio hii yakumpindua kibopa...
Na ninakukubalia bila tatizo lolote....lol
Multiple IDs...
Hivi unazifahamu ID zangu nyingine?? Huwa nakutongozaga nazo wala hata hushtuki.
Ni pm nikunongoneze
Ndiyo sasa kama hapati raha je afanyaje
Ohooooo!! Afadhari sipo pekee yangu kwenye hilo janga.
Yaani nina ka dushe kadogoo kama pingili la kidole cha mwisho. Muda mwingine hua nikiangalia miguu yangu kwa bahati mbaya hua nashituka haaaaaa!!! Dushe langu limefikaje miguuni kumbe ni kakidole ka mwisho..
Kama unakerwa na hili tatizo gonga like hapa ili kunifariji maana sijawahi kukata utepe bado nina mabeseni ya uji kiunoni
Wenye vibamia tutaelewa tu.
Ingawa huu uzi unaonekana ni home made lakini naona nyuzi za hivi zimefululiza humu...
haya sasa wenye madushe yao nafasi ndio hii yakumpindua kibopa...
CHIKIRA MTABARI Mbona unanigongea likes sana afu hata hunisalimii??
Milioni moja kila siku.....ndani ya mwezi si una m30?!!! Hazitoshi mtaji wa kukimbia hayo 'mateso'?!! Stori za kutunga shida sana.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Alafu tayari yuko nae 3years, emagine ana kiasi gani hapo!!!
Ndoto zingine raha kweli kuota, hata pasikuche.
...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.
Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.
khaaa hamuelewiki mara mtake mwenye pesa mara kibamia mara hogo [emoji16][emoji16][emoji16]
Weee penny,,,, na wewe sikuhizi umekuwa shigongo?,,,,, story Gani hii usawa huu,,,,,
Naomba no yake nimpe mbinu
Tatizo hii chai haina sukari kabisa.miss_blossom Si nilikwambia mimi kwamba hakuna aliyepewa vyote??
Haya njooni mumpe pole mwenzenu, Hadi Valentina pia uje hapa ....
...hahahah
demu kabarikiwa kibamia, hela, na kitambi cha kuegemeza kichwa
duh, acha kutuponda bwanaeeeTena warefu ndio wengi wana vibamia sasa.