Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #301
Duh ama kweli watu wanapesa asee chaliiangu. .khaa one million daily unahonga kwa mameloo [emoji22][emoji22][emoji22]
sitaki
Njoo nikuhonge angalau ufikishe M 1 kwa mwaka
Wadada na mikoba yenu kwenye daladala mtatutoboa macho..nasoma Uzi huru umekolea Mara ghafla mkoba huooo kwenye macho...OK achaniendelee kusoma
ahhaaaaa
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji12] Ndio maana kasema amejaaliwa. Her private parts have suffered already!!
Mkuje na huku mtoe maoni
Bonyeza link hii Msaada Tutani ni mbahili balaaa lakini ana mdushe hatarious