Kiswahili cha kawaida tu. Hujaelewa?[emoji4]Jamaaani
Che! Kweli Ngosha sio mchezo ameamuaaaa kutunyoooshaaa
Sasa mamii kuwa rafkiangu nikuunge kwa vibopaaa ila mambo ya kuji underestimate hata staki. Haujaaribu bwana haya yote maisha tunapanda ngazi ili tufike mahali!
Boss unaongea nini?! Kichina au?!
Wadada na mikoba yenu kwenye daladala mtatutoboa macho..nasoma Uzi huru umekolea Mara ghafla mkoba huooo kwenye macho...OK achaniendelee kusoma
AhahahahaaNjoo nikuhonge angalau ufikishe M 1 kwa mwaka
Nenda buana unapoteza bahati ivooo! Ahahhaasitaki
hahahhahahElfu kumi tu kwa mwezi ni shida achilia mbali ya kijichumba tandale sijawahi pewa hiyo bahati.Tafuta wewe huko mie huku majanga tupu.....
naomba unitafutie hata wa laki kwa mwezi ananitoshaJamaani pole sana
Unataka nikutaftiee?!
Bahati hizo. Ohoooo!sitaki
jichekee tu mama mtarajiwaahhaaaaa
Halafu huyu mama mtarajiwa si ndo alikuwa anatafuta mume?. Alishapata?jichekee tu mama mtarajiwa
Che! Mbona wajishusha namna hii?! Kwani we unaishi wapi na kabila gan?!naomba unitafutie hata wa laki kwa mwezi ananitosha
mi ndo napenda vibamia tena nitafutie viwili kabisaChe! Mbona wajishusha namna hii?! Kwani we unaishi wapi na kabila gan?!
Me nakupeleka kwa wenye visima vya mafuta ushindwe wewe tu!
Ila si umesoma stori zangu zote sio?! Inabidi u upgrade wardrobe na majonjo uongezeee ukishindwa kwangu baaaas!
Ila me siuzi watu kama nanilii... hehe rector sijui nani kiru me nakusaidie tu mdogo wangu maana mnalia lia sana
Kwaiyo we hata ukipata kibamia na ana mawe unaenda sio?!
Mlete kwangu usimpeleke mbali.Che! Mbona wajishusha namna hii?! Kwani we unaishi wapi na kabila gan?!
Me nakupeleka kwa wenye visima vya mafuta ushindwe wewe tu!
Ila si umesoma stori zangu zote sio?! Inabidi u upgrade wardrobe na majonjo uongezeee ukishindwa kwangu baaaas!
Ila me siuzi watu kama nanilii... hehe rector sijui nani kiru me nakusaidie tu mdogo wangu maana mnalia lia sana
Kwaiyo we hata ukipata kibamia na ana mawe unaenda sio?!
ni yy ndio eb muulize unataka kumuoaHalafu huyu mama mtarajiwa si ndo alikuwa anatafuta mume?. Alishapata?
Ni ule mwendelezo wa Dreaming is free. Hakunaga vat kwenye dream acha watu wadream wewe kaa na vindoto vyako viduchuuuHivi unaijua milioni vizuri?Anafanya kazi idara gani hadi aweze kukupa milioni kila siku?Punguza chumvi kidogo mdogo wangu
Huyu huyu nilie nae nimeridhika nae sitaki makubwa mieJamaani pole sana
Unataka nikutaftiee?!
nausubili huo wa dushe ulete basNi sheedah
Ngoja wengine waendelee ku comment nilete uzi wa dushe sasa maana hapa sipati msaada mnakimbilia kwenyw vitu na kuhonga
Hahahahah sio wa laki kwa siku?naomba unitafutie hata wa laki kwa mwezi ananitosha
[emoji23][emoji23][emoji23]Njoo nikuhonge angalau ufikishe M 1 kwa mwaka
Mweeeh ndio maana nilishasema niepushiwe mandoto makubwa kama hayoNi ule mwendelezo wa Dreaming is free. Hakunaga vat kwenye dream acha watu wadream wewe kaa na vindoto vyako viduchuuu
Nakupungia lakin sister angu.