Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,089
- 4,816
Kiswahili cha kawaida tu. Hujaelewa?[emoji4]Jamaaani
Che! Kweli Ngosha sio mchezo ameamuaaaa kutunyoooshaaa
Sasa mamii kuwa rafkiangu nikuunge kwa vibopaaa ila mambo ya kuji underestimate hata staki. Haujaaribu bwana haya yote maisha tunapanda ngazi ili tufike mahali!
Boss unaongea nini?! Kichina au?!