Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Nunua dushe za mchina. Zjpo size Ya punda. Ngombe.mguu Wa Tembo. Ukimalizana kutekenywa Na. Jamaa Chukua lidubwana lako sokomeza ndani Kwa nguvu zoote ulizojaaliwa Na. MUNGU muumba. Na. Poa uisahau kuna facking machine waweza nunua pia hilo bwawa lako lazima litakuwa ziwa victoria. Ahahahah.kama hutosheki
 
mi ndo napenda vibamia tena nitafutie viwili kabisa
Kiru haya

Ni ule mwendelezo wa Dreaming is free. Hakunaga vat kwenye dream acha watu wadream wewe kaa na vindoto vyako viduchuuu

Nakupungia lakin sister angu.

Ahahahaha. Kweli Uncle Magu kawavuruga imani kushnehi tupakule, hapa kazi tu
Nakupungia na wewe ahahahaha

Wanaposhobokea pesa wajiandae pia kwa vibamia
Kabsaa

Watu wana shida nyie msione wanatabasamu kuuuuubwa usoni
Sanaaaa kakanguu

Huyu huyu nilie nae nimeridhika nae sitaki makubwa mie
Nilikuwa namtaftia Miss Natafuta

nausubili huo wa dushe ulete bas
Nyie mnaleta masihara hamleti msaada buana

Hahahahah sio wa laki kwa siku?
Kuna mtu amekija hapa counter sasa hivi nikamhudumia hapa job
Akaniachia elfu 50, nikaikataa akaniambia dada nimependa ulivyo mshepu kama Niki minaj na macho mazuri kama Dove!
Leo hii tar 14 March 2017
Sasa mbona mnalalamika laki kwa mwezi jamaa?! Mie naipata ndani ya siku 2 che! YESU rudi tu sasa huku tumeshachokaaa!

Mweeeh ndio maana nilishasema niepushiwe mandoto makubwa kama hayo
Tobaaa roho yangu
 


Majanga amesikia asante

Nani huyo anayeingiza M 50 kwa siku tukiwatoa watu kama kina MO,MANJI AU BAKHRESA.
Yani wewe ni mbishi mpaka utajiwe majina ili iweje labda?! ukaloge au?!
Wapo wa Tz hapa hapa wana hela kuliko naniliii hao uliowataja
 
 
Hivi........
Kwanini unapenda sana kuzungumzia mauongo yako...[emoji45] [emoji45]
 
Best nilikumiss umekujaa?! Ahahaha
Imebidi nije tu Mkuu, maana naona hapa vijana wanajizungusha tu..... Mara ooohhhh wanakushauri sijui manini tu.
Yaani ungekua unapatikana pm walah... Ningekuja aiseeeee....[emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…