Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
CHIKIRA MTABARI Mbona unanigongea likes sana afu hata hunisalimii??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hawajajaaliwa kipaji cha utunzi kabisa.Milioni moja kila siku.....ndani ya mwezi si una m30?!!! Hazitoshi mtaji wa kukimbia hayo 'mateso'?!! Stori za kutunga shida sana.
Bro naomba jitahidi uwe unma stori zsngu zooote alafu utanielewaMilioni moja kila siku.....ndani ya mwezi si una m30?!!! Hazitoshi mtaji wa kukimbia hayo 'mateso'?!! Stori za kutunga shida sana.
Aisee wewe umejaliwa chako kikowapi embu ni tag basi story zako bro! Alafu hii ni kweli sio uongo wala sijatunga ni true storyKuna watu hawajajaaliwa kipaji cha utunzi kabisa.
Ahahahahaha naskia Shigongo ananitafuta amesoma stori zangu anataka afanye kazi na mimiWeee penny,,,, na wewe sikuhizi umekuwa shigongo?,,,,, story Gani hii usawa huu,,,,,
Bro naomba jitahidi uwe unma stori zsngu zooote alafu utanielewa
Kuna watu wana hela Tz sio kitoto mimi na wewe ndio maskini jeuri tuuuu na njaaa zetu tuuu
Aisee wewe umejaliwa chako kikowapi embu ni tag basi story zako bro! Alafu hii ni kweli sio uongo wala sijatunga ni true story
Ahahahahaha naskia Shigongo ananitafuta amesoma stori zangu anataka afanye kazi na mimi
Ohooooo!! Afadhari sipo pekee yangu kwenye hilo janga.
Yaani nina ka dushe kadogoo kama pingili la kidole cha mwisho. Muda mwingine hua nikiangalia miguu yangu kwa bahati mbaya hua nashituka haaaaaa!!! Dushe langu limefikaje miguuni kumbe ni kakidole ka mwisho..
Kama unakerwa na hili tatizo gonga like hapa ili kunifariji maana sijawahi kukata utepe bado nina mabeseni ya uji kiunoni
Aya weeeNdiyo sasa kama hapati raha je afanyaje
Hivi unaijua milioni vizuri?Anafanya kazi idara gani hadi aweze kukupa milioni kila siku?Punguza chumvi kidogo mdogo wangu
Wenye vibamia tutaelewa tu.
Ingawa huu uzi unaonekana ni home made lakini naona nyuzi za hivi zimefululiza humu...
Hahahaha. Ni sheeedah!yy si anataka hogo kibamia hakimtoshi mwambie atafute mwenye hogo akishamfikisha kwenye kilele anachotaka huku kibopa anajua kila kitu jiandaeni kumpokea temeke
Tamaa au Mjeda alimfukuzia mwenyewe bro?!Unajua nyie wanawake hamridhiki ukipata mwenye hela utasema anakibamia na hanifikishi,ukipata mwenye hogo utasema ananifikisha lakini hana pesa.This is the world of choice.Chagua 1 kati ya kusuka au kunyoa km huwezi basi upande m1 suka na upande mwingne nyoa.
Ila tamaa mbaya
Huna mchuzi no excuse ~ akajiimbia DARASAangekuwa anadushe la maana na hana pesa anakupiga dushe uku unapauka tu ungekuja pia tukushauri nyie wanawake nyie mpewe kila kitu uku mnatak haki sawa wanaume kazi tunayo tena sio ya kitoto
Team fushe na Hogo baab! Nipogo!Kama ilivokua
Simba vs Yanga kwa nn isiwe
Kibamia vs Dushe
Chagua 1 na ushabikie
Skuoni PM bro!Ni pm nikunongoneze
Me sio lara 1 jamaaa me ni Money PennyMachale hayakuchezi?? Sio LaraMoko huyu?? Hebu angalia mwandiko vizuri...
Aisee basi sawaa! Stori zangu unasomaga lakini?! Au hii ndio ya kwanza?!Hawezi huyu ni junior kabisa ndo anaanza anza ila lara yule ni habari nyingine
Che! Ni sheedah!Multiple IDs...
Hivi unazifahamu ID zangu nyingine?? Huwa nakutongozaga nazo wala hata hushtuki.
Labda wewe ndio masikini jeuri. Najua watu wengi sana ambao 1m wanaiona kama 10,000 ya kula mchana. Nilichosema hapa ni huyu dada anaeomba msaada wakati angeweza kupata hela ya mtaji na kuachana na huyo kibamia akawa free kutafuta wenye matango! Kama una mtu anakupa 1m almost kila siku,anakupangishia nyumba $1000 ni wazi kama huwezi kumuomba akupe 50m capital, basi unaweza kufanya savings ndani ya mwezi tu una 30m.
Ni vizuri mkibahatika kupata wahongaji kama hao muwekeze ili akikuchoka na kuchukua mwingine una pa kuanzia. Sio unabaki kusimulia tu ilikuwa hivi vile......Me nadhani amekuskia bro! Yupo hapa anasoma na kucheka
Namshauri achague 1 tu kati ya kusuka au kunyoa.Kha!
Sasa jamani hizi kesi za nyani mnaniletea mimi si mnanionea jamaaa
Mnataka nikamatwe au?! Dah! Aya buana naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa
[HASHTAG]#TEAM[/HASHTAG] KIBAMIA
NAZI MTARONI:
Yani Money Penny hapa ninashida ya milele
Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo naenda kupeleka risiti za malipo ya kampuni nayofanya kazi
Kibopa sijui ndio ufisi akanitamani au akanipenda anajua mwenyewe. Kaniomba no yangu nikamkazia, akanifuatilia mpaka kanipata
Akanipandia hewani me sijui hili wala lile nikamsikiliza mpaka mwisho
Nikamwambia hautaniweza bruh! Me mtoto wa kishua (hapo namdanganya kumbe me mtoto wa temeke)
Oh ntakuweza na nini, nikamwambia sawa nataka kuona show zako kabla ya uzinduzi
Kukata simu mil 1 hiyo tigo pesa ndani ya siku 5 nina mil 5, kila siku zinarushwa tu kama DJ khalid alivyokuwa anamrushia demu wake
Weekend natumiwa tena nikaona sasa hapa labda penyewe
Tukakutana Sea Cliff mjeda mzuuuriii mreeeefu, tukala lunch skunyingine dinner skunyingine beach party, skunyingine white party, nikadondoka Zari Party ya mwaka juzi ile 2014 kama sio 2015 mjeda analipa kila kitu me kwetu temeke hapoo
Basi kwa zile show nyingi zaki volcano, nikapandisha manyanga next level
Yeleuuuwi kufika Kunduchi Beach Hotel, me nishakolea Tipsy sio kitoto, kufungua bonet ya mbele mamamamamamamamamamamams anajisemeaga mbwiga wa clouds fm mamamamamamamama, mbwiga niaaaaajeee nikadhania nimeona vbaya labda zile pombe
Nikaenda kunawa uso, nikakaa kwenye choo mjeda anaita honney njoo buana nakusubiri kurudi, kha! KIBAMIA CLASSIC BABY
Nikijiangalia me mwenyewe nina mzigo balaa ni sawa na kumwaga chumvi baharini
Sasa kwasababu yule bwana keshanisherehesha ikabidi nikubali, kwenye kuandaa demu na mambo ya romance ni noumer lakini kwenye mechi buanaaa ni sheeedah!
Yani ikabidi tu niwe najiliza akojoe fasta tulale maana ananikera tu na kunichosha, hakukuchi wala nini mwenyewe anaona siiiifaaa! Kila saa anataka turudiane
Huu mwaka wa 3 nipo nae lakini sufuriii yani basi tu
Mjeda ananipenda mbayaaa, afu ana mawe hatari, Mengi atasubiri miaka 1000 kumfikia!
Money Penny nisaidie nafanyaje?! Maisha yangu kayabadilisha yeye sasa hivi nimepangiwa appartments oysterbay kwa mwezi dola 1000, lakini raha alioiweka Mungu siipati kabisaaa, Mungu fundi sawa lakini wengine nahisi amewaoneaaa
Hapa nilipo nimewekewa mpaka body guard ananilinda usiku na mchana, gadame, ku cheat nahisi hakunaga!
Simu nimekuwa Tracked zoteee mazungumzo na watu labda kama hivi nimeonana na wewe tunaongea nje ya nyumba, CCTV kamera kibaaaao yani ni kerooo
Kazi nimeachishwa nimefunguliwa biashara ila kusema kweli Mungu jaman hapa amenionea sina rahaaa bora ningekuwa bikra basi lakini siooo nakumbukaje sasa mijeda yangu yenye madusheee?!
Ndoorooboooee
Jamani msaada tunaomba msaidieni Nazi Tutani
Maana hii kesi ya Mungu Muumba me imenishindaaaaa!
Hivi unaachaje hela lkn!!Msaada gan anataka mwambie amuache kibopa akatafute mwenye hogo arudishwe temeke
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Milioni moja kila siku.....ndani ya mwezi si una m30?!!! Hazitoshi mtaji wa kukimbia hayo 'mateso'?!! Stori za kutunga shida sana.
aaaarggghh nilishasahau mambo ya masai nn lkn kukumbushana halaf sakayo kaniambia hataki kuniona nalilia kirungu kwahyo nimekuachia peke ako ila ukichungulia usinisahau kwenye pichaHivi unaachaje hela lkn!!
Kwakweli wanaume walitakiwa wawe na pesa na masai sio kuwekana njia panda namna hii.
...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.Labda wewe ndio masikini jeuri. Najua watu wengi sana ambao 1m wanaiona kama 10,000 ya kula mchana. Nilichosema hapa ni huyu dada anaeomba msaada wakati angeweza kupata hela ya mtaji na kuachana na huyo kibamia akawa free kutafuta wenye matango! Kama una mtu anakupa 1m almost kila siku,anakupangishia nyumba $1000 ni wazi kama huwezi kumuomba akupe 50m capital, basi unaweza kufanya savings ndani ya mwezi tu una 30m.
Hili lina ukweli, wachache sana huwa wanafanya ya maana....wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.
Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.
Mie nimeghairi zamaaani kabla yako, abaki na kimbilimbi chake.aaaarggghh nilishasahau mambo ya masai nn lkn kukumbushana halaf sakayo kaniambia hataki kuniona nalilia kirungu kwahyo nimekuachia peke ako ila ukichungulia usinisahau kwenye picha
......and their private parts will always suffer.....!!!!!...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.
Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.