Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Milioni moja kila siku.....ndani ya mwezi si una m30?!!! Hazitoshi mtaji wa kukimbia hayo 'mateso'?!! Stori za kutunga shida sana.
Bro naomba jitahidi uwe unma stori zsngu zooote alafu utanielewa

Kuna watu wana hela Tz sio kitoto mimi na wewe ndio maskini jeuri tuuuu na njaaa zetu tuuu

Kuna watu hawajajaaliwa kipaji cha utunzi kabisa.
Aisee wewe umejaliwa chako kikowapi embu ni tag basi story zako bro! Alafu hii ni kweli sio uongo wala sijatunga ni true story

Weee penny,,,, na wewe sikuhizi umekuwa shigongo?,,,,, story Gani hii usawa huu,,,,,
Ahahahahaha naskia Shigongo ananitafuta amesoma stori zangu anataka afanye kazi na mimi
 
Bro naomba jitahidi uwe unma stori zsngu zooote alafu utanielewa

Kuna watu wana hela Tz sio kitoto mimi na wewe ndio maskini jeuri tuuuu na njaaa zetu tuuu



Aisee wewe umejaliwa chako kikowapi embu ni tag basi story zako bro! Alafu hii ni kweli sio uongo wala sijatunga ni true story


Ahahahahaha naskia Shigongo ananitafuta amesoma stori zangu anataka afanye kazi na mimi

Labda wewe ndio masikini jeuri. Najua watu wengi sana ambao 1m wanaiona kama 10,000 ya kula mchana. Nilichosema hapa ni huyu dada anaeomba msaada wakati angeweza kupata hela ya mtaji na kuachana na huyo kibamia akawa free kutafuta wenye matango! Kama una mtu anakupa 1m almost kila siku,anakupangishia nyumba $1000 ni wazi kama huwezi kumuomba akupe 50m capital, basi unaweza kufanya savings ndani ya mwezi tu una 30m.
 
Jamaaa
Ohooooo!! Afadhari sipo pekee yangu kwenye hilo janga.
Yaani nina ka dushe kadogoo kama pingili la kidole cha mwisho. Muda mwingine hua nikiangalia miguu yangu kwa bahati mbaya hua nashituka haaaaaa!!! Dushe langu limefikaje miguuni kumbe ni kakidole ka mwisho..

Kama unakerwa na hili tatizo gonga like hapa ili kunifariji maana sijawahi kukata utepe bado nina mabeseni ya uji kiunoni

Jamaaani pole ina maana wewe ni bikra au bijra wa kugongea?!

Ndiyo sasa kama hapati raha je afanyaje
Aya weee

Hivi unaijua milioni vizuri?Anafanya kazi idara gani hadi aweze kukupa milioni kila siku?Punguza chumvi kidogo mdogo wangu

Mpendwa me naongelea watu wa arena ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA sio hii ya KAZI TUUU, kama wakati ule haukula hata 100 ya kibopa mama pole sana wenzio waliogeleeaaaa

Wenye vibamia tutaelewa tu.
Ingawa huu uzi unaonekana ni home made lakini naona nyuzi za hivi zimefululiza humu...

Ingekuwa home made si ningeandika jamaa, hii ishu ya kweli bro! Kama hauna mchuzi mwenywwe tuuu wengine wanazo

yy si anataka hogo kibamia hakimtoshi mwambie atafute mwenye hogo akishamfikisha kwenye kilele anachotaka huku kibopa anajua kila kitu jiandaeni kumpokea temeke
Hahahaha. Ni sheeedah!

Unajua nyie wanawake hamridhiki ukipata mwenye hela utasema anakibamia na hanifikishi,ukipata mwenye hogo utasema ananifikisha lakini hana pesa.This is the world of choice.Chagua 1 kati ya kusuka au kunyoa km huwezi basi upande m1 suka na upande mwingne nyoa.
Ila tamaa mbaya
Tamaa au Mjeda alimfukuzia mwenyewe bro?!

Kwaiyo we unamshauri vepe labda

angekuwa anadushe la maana na hana pesa anakupiga dushe uku unapauka tu ungekuja pia tukushauri nyie wanawake nyie mpewe kila kitu uku mnatak haki sawa wanaume kazi tunayo tena sio ya kitoto
Huna mchuzi no excuse ~ akajiimbia DARASA

Kama ilivokua
Simba vs Yanga kwa nn isiwe
Kibamia vs Dushe

Chagua 1 na ushabikie
Team fushe na Hogo baab! Nipogo!

Ni pm nikunongoneze
Skuoni PM bro!

Machale hayakuchezi?? Sio LaraMoko huyu?? Hebu angalia mwandiko vizuri...
Me sio lara 1 jamaaa me ni Money Penny

Hawezi huyu ni junior kabisa ndo anaanza anza ila lara yule ni habari nyingine
Aisee basi sawaa! Stori zangu unasomaga lakini?! Au hii ndio ya kwanza?!

Multiple IDs...

Hivi unazifahamu ID zangu nyingine?? Huwa nakutongozaga nazo wala hata hushtuki.
Che! Ni sheedah!
 
Labda wewe ndio masikini jeuri. Najua watu wengi sana ambao 1m wanaiona kama 10,000 ya kula mchana. Nilichosema hapa ni huyu dada anaeomba msaada wakati angeweza kupata hela ya mtaji na kuachana na huyo kibamia akawa free kutafuta wenye matango! Kama una mtu anakupa 1m almost kila siku,anakupangishia nyumba $1000 ni wazi kama huwezi kumuomba akupe 50m capital, basi unaweza kufanya savings ndani ya mwezi tu una 30m.

Me nadhani amekuskia bro! Yupo hapa anasoma na kucheka
 
khaaa hamuelewiki mara mtake mwenye pesa mara kibamia mara hogo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kha!
Sasa jamani hizi kesi za nyani mnaniletea mimi si mnanionea jamaaa


Mnataka nikamatwe au?! Dah! Aya buana naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa

[HASHTAG]#TEAM[/HASHTAG] KIBAMIA


NAZI MTARONI:
Yani Money Penny hapa ninashida ya milele
Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo naenda kupeleka risiti za malipo ya kampuni nayofanya kazi
Kibopa sijui ndio ufisi akanitamani au akanipenda anajua mwenyewe. Kaniomba no yangu nikamkazia, akanifuatilia mpaka kanipata
Akanipandia hewani me sijui hili wala lile nikamsikiliza mpaka mwisho
Nikamwambia hautaniweza bruh! Me mtoto wa kishua (hapo namdanganya kumbe me mtoto wa temeke)
Oh ntakuweza na nini, nikamwambia sawa nataka kuona show zako kabla ya uzinduzi
Kukata simu mil 1 hiyo tigo pesa ndani ya siku 5 nina mil 5, kila siku zinarushwa tu kama DJ khalid alivyokuwa anamrushia demu wake
Weekend natumiwa tena nikaona sasa hapa labda penyewe
Tukakutana Sea Cliff mjeda mzuuuriii mreeeefu, tukala lunch skunyingine dinner skunyingine beach party, skunyingine white party, nikadondoka Zari Party ya mwaka juzi ile 2014 kama sio 2015 mjeda analipa kila kitu me kwetu temeke hapoo
Basi kwa zile show nyingi zaki volcano, nikapandisha manyanga next level
Yeleuuuwi kufika Kunduchi Beach Hotel, me nishakolea Tipsy sio kitoto, kufungua bonet ya mbele mamamamamamamamamamamams anajisemeaga mbwiga wa clouds fm mamamamamamamama, mbwiga niaaaaajeee nikadhania nimeona vbaya labda zile pombe

Nikaenda kunawa uso, nikakaa kwenye choo mjeda anaita honney njoo buana nakusubiri kurudi, kha! KIBAMIA CLASSIC BABY

Nikijiangalia me mwenyewe nina mzigo balaa ni sawa na kumwaga chumvi baharini

Sasa kwasababu yule bwana keshanisherehesha ikabidi nikubali, kwenye kuandaa demu na mambo ya romance ni noumer lakini kwenye mechi buanaaa ni sheeedah!

Yani ikabidi tu niwe najiliza akojoe fasta tulale maana ananikera tu na kunichosha, hakukuchi wala nini mwenyewe anaona siiiifaaa! Kila saa anataka turudiane
Huu mwaka wa 3 nipo nae lakini sufuriii yani basi tu

Mjeda ananipenda mbayaaa, afu ana mawe hatari, Mengi atasubiri miaka 1000 kumfikia!

Money Penny nisaidie nafanyaje?! Maisha yangu kayabadilisha yeye sasa hivi nimepangiwa appartments oysterbay kwa mwezi dola 1000, lakini raha alioiweka Mungu siipati kabisaaa, Mungu fundi sawa lakini wengine nahisi amewaoneaaa
Hapa nilipo nimewekewa mpaka body guard ananilinda usiku na mchana, gadame, ku cheat nahisi hakunaga!

Simu nimekuwa Tracked zoteee mazungumzo na watu labda kama hivi nimeonana na wewe tunaongea nje ya nyumba, CCTV kamera kibaaaao yani ni kerooo
Kazi nimeachishwa nimefunguliwa biashara ila kusema kweli Mungu jaman hapa amenionea sina rahaaa bora ningekuwa bikra basi lakini siooo nakumbukaje sasa mijeda yangu yenye madusheee?!
Ndoorooboooee

Jamani msaada tunaomba msaidieni Nazi Tutani
Maana hii kesi ya Mungu Muumba me imenishindaaaaa!
Namshauri achague 1 tu kati ya kusuka au kunyoa.
Hapa duniani huwezi pata kila kitu mtu wangu,ndo mana kukawa na kitu kinaitwa choice
 
Hivi kumbe wanawake wenye "mizigo" wanajua kuwa wana mizigo!!! Hahaha, manake kweli wapo waliojaaliwa, kama ni dushe tungesema "mandingo"...
 
Hivi unaachaje hela lkn!!
Kwakweli wanaume walitakiwa wawe na pesa na masai sio kuwekana njia panda namna hii.
aaaarggghh nilishasahau mambo ya masai nn lkn kukumbushana halaf sakayo kaniambia hataki kuniona nalilia kirungu kwahyo nimekuachia peke ako ila ukichungulia usinisahau kwenye picha
 
Labda wewe ndio masikini jeuri. Najua watu wengi sana ambao 1m wanaiona kama 10,000 ya kula mchana. Nilichosema hapa ni huyu dada anaeomba msaada wakati angeweza kupata hela ya mtaji na kuachana na huyo kibamia akawa free kutafuta wenye matango! Kama una mtu anakupa 1m almost kila siku,anakupangishia nyumba $1000 ni wazi kama huwezi kumuomba akupe 50m capital, basi unaweza kufanya savings ndani ya mwezi tu una 30m.
...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.

Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.
 
...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.

Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.
Hili lina ukweli, wachache sana huwa wanafanya ya maana.
 
...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.

Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.
......and their private parts will always suffer.....!!!!!
 
Back
Top Bottom