Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Wanahonga Million 1 kila siku?kama ni mboyoyo umefikaje hapa l;abda?!
sema sina hela wenzio wanazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanahonga Million 1 kila siku?kama ni mboyoyo umefikaje hapa l;abda?!
sema sina hela wenzio wanazo
sijui maana sijawahi hongwa na upuuzi ninazo zangu!Wanahonga Million 1 kila siku?
na wewe ndio applicant wa kazi sio?Kuna watu mna penda ujinga🤒🤒, Kama ame funguliwa biashara. SI atoe nafasi za kazi🤒
It doesn't matter if it's me or nobody else.na wewe ndio applicant wa kazi sio?
ila huu uzi ni wa mwaka 2017 though!It doesn't matter if it's me or nobody else.
👉Kuna saa jamii ipunguze ujinga, na inafaa concentrate katika njia sahihi
Ni sawa, Ila for real madam USI nitag nyuzi hizo kwa wingi.ila huu uzi ni wa mwaka 2017 though!
kuna ya kanisa kule nimekuta!Ni sawa, Ila for real madam USI nitag nyuzi hizo kwa wingi.
👉Napenda positive attitude, Sasa tumshauri mtu wa 2017🤔. Isaidie nini?
Wewe mdada unajitambua kweli wewe hebu piga picha rudisha miaka kumi nyuma maisha yako yalivyokuwa linganisha na sasa.Unataka raha ya dakika 3 ili ukoswe zari la mental! Ujue jamaa jinsi alivyokwisha wekeza kwako ukimuacha hutabaki salama unakula chuma.
uweeeWewe mdada unajitambua kweli wewe hebu piga picha rudisha miaka kumi nyuma maisha yako yalivyokuwa linganisha na sasa.Unataka raha ya dakika 3 ili ukoswe zari la mental! Ujue jamaa jinsi alivyokwisha wekeza kwako ukimuacha hutabaki salama unakula chuma.
duHayo ndo madhara ya kuolewa bila bikra ushauri wangu rudi kwa ex wako