Msaada haraka kwa mtu anaehitaji kufata fursa Afrika Kusini

Msaada haraka kwa mtu anaehitaji kufata fursa Afrika Kusini

Unajitumia wewe mwenyewe,

Katika kutuma weka Jina hata la mdogo wako/ ndugu yako kuwa ndio mtumaji ukiwa Tz.

Sababu unapochukua pesa huko watahitaji kitambulisho chako, deatis zingine tayari uakuwa nazo sababu wewe ndiye uliyehusika kwenye mchakato.

NB: Hii njia ni nzuri hata kiusalama , badala ya kusafiri na kiasi kikubwa cha fedha, unatanguliza kabis fedha yako huko uendako.
Ushauri mzuri ni kufungua wallet A/C
 
Unajitumia wewe mwenyewe,

Katika kutuma weka Jina hata la mdogo wako/ ndugu yako kuwa ndio mtumaji ukiwa Tz.

Sababu unapochukua pesa huko watahitaji kitambulisho chako, deatis zingine tayari uakuwa nazo sababu wewe ndiye uliyehusika kwenye mchakato.

NB: Hii njia ni nzuri hata kiusalama , badala ya kusafiri na kiasi kikubwa cha fedha, unatanguliza kabis fedha yako huko uendako.
Mfano ukichelewesha kuitoa haiwezi kurudishwa.
 
Western Cape, Phillip
Ni sehemu hatari sana iyo usione ilo Jina la kizungu ukajua ni ushuani subutu kuna usela umavi Mavi hatari

Usiombe yakukute kaka angalia nchi ya kwenda south Africa siku shauli kama ww ni mtafutaji wa rizki ya Halali hapakufai utajuta kaka... Kama unabisha nenda alafu utakuja kusema humu ndani.
 
Back
Top Bottom