Sijajua kama naloni tatizo la nguvu za kiume..Tatizo langu nawai sana kumwaga{kupizi} yani sichukui sekunde 50 namwaga lakini cha ajabu naendelea na round nyingine hata mara5 kwa staili hiyo hiyo kiukweli si enjoy tendo.....Je huu ni ugonjwa na nitauzuiaje wadau??
Kwa hesabu ya haraka unapiga bao tano kwa dakika 5, hapo binti wa watu hata hajaanza kupandisha mizuka wewe hoi. wenzako bao la kwanza 30 to 45 mts. Unasikia raha kuanzia utosi wa miguu mpaka unyayo wa kichwa.
Kwa hesabu ya haraka unapiga bao tano kwa dakika 5, hapo binti wa watu hata hajaanza kupandisha mizuka wewe hoi. wenzako bao la kwanza 30 to 45 mts. Unasikia raha kuanzia utosi wa miguu mpaka unyayo wa kichwa.
kitaalamu hiyo inaitwa "pre mature ejaculation" pia ni moja kati ya aina za erectile dysfunction. Kuna sababu tofauti kama vile mpenzi mpya, hofu, msongo wa mawazo, jeraha, hormonal imbalance au side effects za baadhi ya dawa.
kwa baadhi ya watu tatizo huwa linaisha lenyewe lakini kwa wengine huhitaji msaada wa kitabibu. Onana na daktari atakupa ushauri kulingana na jinsi utavyojieleza historia yako kuhusiana na hilo tendo.
lakini kwa muda huu mfupi kama unatumia vileo punguza au acha, wewe na mpenzi wako mnaweza kujaribu style zitakazochelewesha mshindo. Nipm for anything personal na wataalamu humu watakushauri zaidi ila usikose kumuona mtaalam husika {sexologist} .
Dah, we jamaa, unamfany mwenzio anyongonyeee,
Pole kaka. Ila nahisi uone wajuzi, kuna jamaa aliwahi weka uzii ikiwa ni feed back kapata dawa ya kuinusuru ndoa
Yake, honestly hata mimi nili mp ilinipate hiyo elimu, coz u never know
Angenijibu ningeshare nawe, ila piga tizi mkuu utakuwa sawa
Pumzi kabla ya kuanza shunghuli make sure upo katika rest mode, hakikisha eneo la shunghuli liwe tulivu, kwa kuanzia chukua mwanamke mliezoeana vizuri, usianze kwa papara wala usimkamie ( waswahili wanasema " Mkamia maji......." ).So unanisaidiaje hapo na mm ni enjoy?
Iyo ni tatizo kiasi kinachotakiwa
1.badilisha mfumo wa ulaji, tumia vyakula visivyokobolewa alafu mboga kwa wingi matunda pamoja na maji ya kutosha.
2.fanya mazoezi ya viungo kiasi ili mfumo wa damu uwe njema.
3.usiwe na msongo wa mawazo uwapo ulingoni, relax.
#ukifanya haya na mengine mengi tu utaua ndege hata 5 kwa jiwe moja.