Ndugu waalimu mlowahi kufanikisha zoezi hili naomben msaada wenu, hizi barua ttunatumiana baada ya kusaini mkuu washule au baada ya kusainiwa na afisa elimu na mkurugenzi?
Ndugu waalimu mlowahi kufanikisha zoezi hili naomben msaada wenu, hizi barua ttunatumiana baada ya kusaini mkuu washule au baada ya kusainiwa na afisa elimu na mkurugenzi?
Unamtumia mwenzio baada ya kupitisha kwa mkuu - DED wako ili aipeleke kwa DED wake. Kwa halmashauri zingine ili DEO akupitishie anataka uwe na barua ya mwenzio ikiwa imepitishwa angalau na mkuu wake. Hivyo ili kuondoa usumbufu, mkishapitishiwa na wakuu wenu mnatumiana nakala moja ili kuiambatanisha na barua zenu kisha kupeleka kwa DEO. Kila la heri!