Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Ndugu waalimu mlowahi kufanikisha zoezi hili naomben msaada wenu, hizi barua ttunatumiana baada ya kusaini mkuu washule au baada ya kusainiwa na afisa elimu na mkurugenzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu waalimu mlowahi kufanikisha zoezi hili naomben msaada wenu, hizi barua ttunatumiana baada ya kusaini mkuu washule au baada ya kusainiwa na afisa elimu na mkurugenzi?
aksante sana mkuu! ngoja niishughulikie ili wa saba nikaishi nipapendapo!