Hwa watu wanaoitwa single mother hawa!!! natambua wako wema waliozalishwa tu na wakaachwa bila sababu isipokua %85 ni wanawake washenzi sana sana sana. hawakuachwa hivi hivi tu na baada ya kuachwa hua wako tayali kupora wanaume wa watu,watalenga mali na vitu kadhaa,hua wanatazama mpaka tunafanya kazi gani inayoweza kuleta manufaa ya maisha baadae na ukiingia kichwa kichwa baadae anakutibua makusudi ili abebe mlicho vuna.
Ni kama wako kwenye ajira na hua wanafanya kusudi kabisa bila sisi wanaume kujua,mbaya zaidi sheria zetu na jamii ya kiTanzania hua inaamini wanawake wanasingiziwa na kuonewa lakini ni kwa sababu ya aibu tu ya wanaume au kubeba msalaba kwa wanaume tunakaaga kimya
Lakini wako wanawake washenzi sana na ninakwambia kwa uso mkavu kabisa komesha huyo mwanamke ili asije kurudia kwa mwingine,namaanisha vaa uhalisia wa MWANAUME na umfunze adabu maana huwezi kushindwa,hawajaumbiwa kukushinda hao ila wapende na kuwatunza iwapo wana adabu.