Msaada haya madhara ya misoprosol au la?

Msaada haya madhara ya misoprosol au la?

snoope

Member
Joined
Aug 17, 2017
Posts
44
Reaction score
18
Wajemen nna ndugu yang aliabotion kama mara3 last year kwa kutumia misoprosol sasa ameshka mimba kwa zumun lakuzaa na ina 2weeks ila chakushangaza anaona uchafu watoka ulochanganyika na dam jee hili nitatizoo lilo tokakna na dawa zile? na afanyajee ? Kutatua hilo
 
Acha kumsingizia ndugu yako.........kwanini uliua viumbe visivyo na hatia?
 
Unamsingizia ndugu yako ,,Utoaji wamimba ulivyosili ivo ,wewe ninan akuambie ,mpaka akuambie saizi anataka kuzaa mpaka akuambie anatoka nadamu ??/uyo ndugu au demu.

Wacha Dhambi imtafune mpaka immalize !!.
 
Ni dalili ya implantation siyo issue ilimradi tu isiwe damu nyingi yenye kuambatana na maumivu
 
Utakuwa ni wewe mwenyewe. Anyway kama si nyingi ni hali ya kawaida tu, kwa maelezo ya ziada njoo pm
 
Back
Top Bottom