Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
salimia siyo ya mchezo inawezekana ukimya wa mleta mada unatokana na kuijaribuSalimia ni hatari kaka nilishawai kuchua mgongo nikakosea nikapashika huko siku hiyo nilijuta yaan mkojo unataka kuja hauji halafu kama pilipili kichaa ikikuwasha mdomo weeee nililia bahati nilikua site halafu usku yaan salimia acha