Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Salimia ni hatari kaka nilishawai kuchua mgongo nikakosea nikapashika huko siku hiyo nilijuta yaan mkojo unataka kuja hauji halafu kama pilipili kichaa ikikuwasha mdomo weeee nililia bahati nilikua site halafu usku yaan salimia acha
salimia siyo ya mchezo inawezekana ukimya wa mleta mada unatokana na kuijaribu
 
Tajiri vip tena tajiri, umekasa hata mchuchu wa kukushave mkuu.
Ila umenichekesha jman, dah sijawah ona kitu chenye sura hyo we siyo wa nchi hii
Mkuu umenichekesha sana na hii comment yako yan dah mchuchu hajui wajibu wake
 
Pumbu erosion hio,

Acha kuvaa boxer za buku full manati! Anza kutumia banana republic upesi sana...au kelvin clein zile za draft!
Tafta cream madhubuti, zipo pharmacy nyingi tu!
 
Pole mkuu bakteria hzo usivae nguo ya ndani bila kukauka hii ni kwa sote.. Man & women iwe nguo ya mwisho boxes kuvaa
 
Screenshot_20170417-104314.png
 
Tajiri afu una liugonjwa linalosababishwa na uchafu?
 
Back
Top Bottom