Msaada, hii gari uki reverse kuna mlio wa kukita na ukiweka drive pia inakita hili ni tatzo gani?

Msaada, hii gari uki reverse kuna mlio wa kukita na ukiweka drive pia inakita hili ni tatzo gani?

wakatanta

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2018
Posts
2,594
Reaction score
3,158
Ndugu wanajukwaa hasa mafundi wa magari,kuna gari ya anko wangu aina ya RV4 J,ukiweka reverse au kwenda mbele hukita mlio flani,hili tatizo halikuwepo kabla.

Je, ni tatizo gani na linaweza tatulika kwa gharama kiasi gani?
 
Ndugu wanajukwaa hasa mafundi wa magari,kuna gari ya anko wangu aina ya RV4 J,ukiweka reverse au kwenda mbele hukita mlio flani,hili tatizo halikuwepo kabla,

Je ni tatizo gani na linaweza tatulika kwa gharama kiasi gani?
Au ndo kiduku hiki kinaitwa? Itakua huyu ndugu yako tangu amekua na hiyo rav4 hakuwai fanya service ya kubadili oil ya transfer case..now meno yametengeneza play katikati it can be a reason for this..ni common problem kwa neglected RAV 4...unless otherwise can worn inner CV joint,or worn bushings...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au ndo kiduku hiki kinaitwa? Itakua huyu ndugu yako tangu amekua na hiyo rav4 hakuwai fanya service ya kubadili oil ya transfer case..now meno yametengeneza play katikati it can be a reason for this..ni common problem kwa neglected RAV 4...unless otherwise can worn inner CV joint,or worn bushings...

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni mkuu,je itengwe kiasi gani cha pesa kabla ya kuichokonoa,kwa ushauri wako?
 
Au ndo kiduku hiki kinaitwa? Itakua huyu ndugu yako tangu amekua na hiyo rav4 hakuwai fanya service ya kubadili oil ya transfer case..now meno yametengeneza play katikati it can be a reason for this..ni common problem kwa neglected RAV 4...unless otherwise can worn inner CV joint,or worn bushings...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba kiduku inakua tairi zinalala kama zinataga?? Nauliza tu
 
Wazee wa Toyota tunajuana kwenye spare parts....Ila ishu inakuwa kwenye ubora maana engine mounting na gear mounting za bei hii zinakufa baada miezi 4-6
Nimekupata boss wangu,sasa unashauri naweza pata used ambazo ni konki?

Zingatia,gari hii sio ya mizunguko mingi sana,na hutumika kwenye rami kwa sana
 
Ndugu wanajukwaa hasa mafundi wa magari,kuna gari ya anko wangu aina ya RV4 J,ukiweka reverse au kwenda mbele hukita mlio flani,hili tatizo halikuwepo kabla.

Je, ni tatizo gani na linaweza tatulika kwa gharama kiasi gani?

Hii ni cross joint ndo inagonga , mafundi wanaita msalaba ambao ni either imeisha au vikombe vyake pale inapoingia pametanuka.

Hii crosa joint imeungwa kwenye driveshaft kwa hiyo gearbox inapozunguka inakita kwenye kuta za hivyo vikombe . Nunua misalaba
 
Hapo mount zinazingua, nunua tu ufunge shida ziishe. Ishawahi kunitokea pia enzi hizo.
 
Hapo mount zinazingua, nunua tu ufunge shida ziishe. Ishawahi kunitokea pia enzi hizo.
Shukrani kwa elimu, kiukweli ule mkito unakera sana hasa ukiwa pembeni jamaa wamepaki michuma halafu wee una reverse ,aubu sana
 
Hii ni cross joint ndo inagonga , mafundi wanaita msalaba ambao ni either imeisha au vikombe vyake pale inapoingia pametanuka.

Hii crosa joint imeungwa kwenye driveshaft kwa hiyo gearbox inapozunguka inakita kwenye kuta za hivyo vikombe . Nunua misalaba
Shukrani sana kiongozi,hiv misalaba roughly inaweza Ku cost kiasi gani ili nisiungizwe chaka na wagumu
 
Back
Top Bottom