Rupia au Rupee ni feza ya Wabaniani. Hata sasa, currency ya India ni Rupee kama sisi tulivyo na Shilling na Zambia walivyo na kwacha. Picha ya kwenye sarafu na majina ni ya watangulizi wa Malkia, though lugha iliyo tumika ni kilatini au kirumi (I stand to be corrected). Nahisi siyo Rupia