Yeaaah naipata hapo plot inataka kufana na muvi ya Don 1. Nikija dar nitakutafuta nikuibie hizo muvi na animationNdio hiyo mzee mwenzangu AKSHAY anakufa katika uwanja wa mpira
Naikubari sana ile MOVIE
Mzee mwenzangu mimi nimeangalia MOVIE kwa kopa pale ilipo Sheri(PETRO STATION) sasa kwa mkubwa tulikuwa tunamuita KWA DOLE au kwengine hapohapo kwa kopa tunakuita KWA MSHALE pale wanapopaita PEACE ilipo BAR kulikuwa JALALA la TAKA alikuwa anashinda tu CHIZI fulani tulikuwa tunamuita CHEGELUMA pale kwenye V Ambapo kuna muembe alikuwa KINYOZIJuma Khan acha miyeyusho.
Mimi nimeangalia hii muvi kwenye banda la video. Big M Mwananyamala kwa Kopa. Ikiwa imetafsiriwa.
Mkuu hauna safari za kuja chuga aisee? Yaani nimetamani asee.
Hebu tuone hilo l animation..mimi ni mkusanyaji wq muvi ila wewe kiboko aise
Chuga hapana mzee baridi la huko si mchezoMkuu hauna safari za kuja chuga aisee? Yaani nimetamani asee.
Hebu tuone hilo l animation..mimi ni mkusanyaji wq muvi ila wewe kiboko aise
Dole mkubwa marehemu.Mzee mwenzangu mimi nimeangalia MOVIE kwa kopa pale ilipo Sheri(PETRO STATION) sasa kwa mkubwa tulikuwa tunamuita KWA DOLE au kwengine hapohapo kwa kopa tunakuita KWA MSHALE pale wanapopaita PEACE ilipo BAR kulikuwa JALALA la TAKA alikuwa anashinda tu CHIZI fulani tulikuwa tunamuita CHEGELUMA pale kwenye V Ambapo kuna muembe alikuwa KINYOZI
ni kwa uchache hayo tu hayo mzee mwezangu Edhi ya TV zinapamba moto
Na MWANANYAMALA nzima mtu wa kwanza kumiliki TV ni MAMA MKAMBA nyumba yake inaangalia ROYAL BAR
dah Mohra kitambo sana sanaBalaa balaa ile movie dah ataly sana,,
Ila mara nyingi combination ya akshay na sunnil inakuaga superb..
Kuna movie nyingne inaitwa mohra akshay na sunnil nayo moto sana songs na story bonge ya movie..
Yaaah long time,,dah Mohra kitambo sana sana
Sunil alikua maskini, baba yake huyo demu akamuwekea briefcase mbili mbele yake achukue moja.Movie inaanza Sunil Shet anaishi na mama yake hawana pesa ikabidi Sunil Shet amuage mama yake, kisha akaenda kumuaga girlfriend wake ambaye kwao ni matajiri.
Baada ya miaka kadhaa wazazi wa demu wa Sunil Shet waka mpa binti yao Akshay Kumar amuoe binti alikuwa hana sauti juu ya wazazi wake.
Mzee mzima Sunil Shet akawa amesharudi kuhaso akafanikiwa kupata pesa nyingi akawa Don kwa bahati mbaya mama yake akafariki akachomwa moto.
Basi Sunil Shet (Devi jina alilotumia) akaenda kwao na demu wake akaambiwa ameshaolewa na kijana mfanya biashara Sunil Shet akachanganyikiwa akamfatilia hadi Delhi.
Akafanikiwa kukutana na demu wake hakuamini kumuona msela aliyeachana nae na kwenda kutafuta maisha
Hii muvi jamaa alipigwa mwanzo tu na lile chuma uko mbele hamna famba yyt aliemgusa bonge moja la muvGhajini hii movie ya Amir khan, ina love story ya ajabu sana, hua nikifikiria nashangaa sana.
Kuna msicha anaitwa kalpana alikua anafanya kazi kwenye kampuni ndogo ya kutegeneza matangazo madogo madogo( maya puri), Kampuni ya simu airtel walikua wanataka kununua nyumba hilo eneo waweke bango lao ta tangazo la simu, MD wa airtel Sanjey Singhania ( Amir khan) akawatuma watu wake waende kuelewana ma mwenye ile nyumba ambaye alionekana kalpana,
Wale maafisa ya airtel kufika pale wakaulizia kalpana, watu wote pale wakashangaa huyu dada anauliziwa wa nini na maofisa hao wa airtel, mkuu wa ile kampuni ya matangazo anapofanya kazi kalpana wakamzushia kalpana kwamba MD wa airtel anakutaka kimapenzi ndo mana kawatuwa watu wake wamshawishi, Yule msichana kwa kuona ni sifa kuvumishiwa anapendwa na tajir mkubwa wa airtel akasema ni kweli jamaa ana mtaka, ile habari ikasambaa mji mzima MD wa airtel anatembea na kalpana, wakaja waandishi wa udaku demu akasema MD wa airtel alikutana nae kwenye ndege akamtongoza aka mkataa, kashfa ikakua kampuni yao ikawa kubwa ikapata matangazo mengi na demu akawa ndo kiongozi wa kila matangazo.
Kashfa ikarushwa kwenye tv na MD wa airtel akaiona akasema mimi simjui huyo kalpana akaamuru waende wamuone na amchukulie hatua.
Nitaendekele aiseee
Kuna baadhi ya movie za kihindi zipo NetflixRufufu mungu anamuona aisee.. Sunil Shet yeye alikua anamuita Shurusheti.
Kuna muvi inaitwa Tere naam ya Akshay bonge moja la muvi. Napenda sana Bollywood movies sema sina pa kuzipata mpaka nikiwa na muda niangalie B4U movies. Nina nyimbo za kihindi 500 zote video usiku napenda kulala nazisikiliza
Hii movie LUFUFU hakuwahi kuitafsri
Hii MOVIE kipindi inatoka LUFUFU miaka ya elf 2000 mwanzoni LIFUFU alikuwa ndio anaacha kutafsiri MOVIE so hii movie hakuwahi kudeal nayo
muvi za kihindi ni my favorite sana.hasa zile za zamani napenda storyline zake na miziki..Ha pole mkuu mkuu ungekuwa DAR ungekuja nikakupa tu nina kama zote kunzia miaka ya 2010 kushuka chini hasa 90s na 80s ila ninazo mpk za miaka 60 baadhi
View attachment 1838219View attachment 1838222
Heshima yako MkuuHa pole mkuu mkuu ungekuwa DAR ungekuja nikakupa tu nina kama zote kunzia miaka ya 2010 kushuka chini hasa 90s na 80s ila ninazo mpk za miaka 60 baadhi
View attachment 1838219View attachment 1838222
Mohra imepangwa vzr sana,huku Akshay,huku Sunnil huku Nassurudin shaaBalaa balaa ile movie dah ataly sana,,
Ila mara nyingi combination ya akshay na sunnil inakuaga superb..
Kuna movie nyingne inaitwa mohra akshay na sunnil nayo moto sana songs na story bonge ya movie..