Msaada hii movie ya Suniel Shetty inaitwaje?

Mwenye link ya kudownload movie za kihindi msaada atuwekee hapa
 
Noma sana mkuu na misongi sasa balaa,,
Story ataly.
Ile.movie dah sichokagi kbsa kila nikiangalia naona mpyat.
Hatari sana mkuu,sema japo ni movie tu lkn nilichukia sana sunil kufa,nilitamani apambane hadi mwisho.
 
Hii inaitwa masti masti tuuchizi..
😁😁😁😁😁😁,Ataly sana

Hii ngoma ndo kama nyimbo ya taifa india hit song ya mda wote,,
Hakuna audition yeyeote ya underground isiimbwe hii,,
Hahahaaaa,,,,,Kweli mkuu
 
Hio Tere naam ni nyoko aisee
 
hiyo movie nilionaga nikiwa mdogo tu vibandani ila sijawahi isahau mwaka jana nikaitafuta youtube maana hata jina sikua naijua ila najua waigizaji nikaangalia upya ndo nimeelewa sasa maana hata lugha kidogo inapanda kwa subtitle hahaha bonge la movie.
 
Hii inaitwa masti masti tuuchizi..
😁😁😁😁😁😁,Ataly sana

Hii ngoma ndo kama nyimbo ya taifa india hit song ya mda wote,,
Hakuna audition yeyeote ya underground isiimbwe hii,,
Nyingine hio mkuu
Your browser is not able to display this video.
 
hii movie imetafsiliwa na
lufufu bro
 
Hechinodemata ile scene ya Sanjay Singhania anakwenda kukutana na Kalpana kwa mara ya kwanza ni amazing kabisa Classic
 
Dhadkan hiyo na huyo demu anaitwa Shilpa Shetty
 
Muvi ya mwisho kihindi kuangalia ni Three idiots ya mnyama Aamr khan
 
Habar,

Bado upo jamvin???
 
Bonge la mkwaju, Sunil karud amekuwa don, kakuta mchumba kashaolewa, kaenda kamfukuzia demu dem nae kasha pagawa na Akshay , Sunil ikabd atumie pesa kanunua mjengo wao kawatimua , bila kubeba chochote hatali sana hii movie sichoki kuitazama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…