Msaada hii ni HIV+/HIV-

Msaada hii ni HIV+/HIV-

Naomba nikupinge mkuu, kwa sababu zifuatazo.
1;HIV Determine haitumiki tena,imeondolewa kwenye mzunguko.
2;Hatujui ni muda gani ametumia kusoma majibu, kajaribu wewe kujipima mkuu kwa kutumia hiki kipimo usisome majibu yako mpaka asubuhi uone mistari mingapi itatokea.
3;Mwenye mamlaka ya kututhibitishia majibu ya vipimo ni dactari pekee, sisi wengine tumshauri aenda vituo vya afya kitengo cha VVU na ushauri nasaha atapata msaada mzuri zaidi

Samahani lakini

Wewe bisha weeeeeeeee......ila hiyo ni ' Dally Kimoko ' tu.
 
Tayari mkuu. Ni + haihitaji hadi uvae miwani ya mbao kuona
 
Nan kakwambia ujipime? Utajiua bure.nenda hospital ya uhakika sio mitaani utapata jibu sahihi ila kipimo hakiondoi ukimwi kama unao ujue unao kama hauna basi hauna
 
Hata UPT zinaletaga faint line ya pili sometime ila huwa ni positive tu,yani miwili hiyo positive tuuu ht ififie
 
Back
Top Bottom