cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaahPeaneni zamu ya kuangalia, leo tamthilia kesho habari.
Muiweke kabisa ratiba sebleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaahPeaneni zamu ya kuangalia, leo tamthilia kesho habari.
Muiweke kabisa ratiba sebleni
Watakula watoto wao.Wenyewe watakuwa walikula za kwetu tayari.Mambo ni ngazi kwa ngazi in terms of descending order mkuu😂😂😂Hii hapana...Na wao wakioa mapaja yao atakula nani?
Chukua huu ushauri utashukuru baadaeMwanaume unawahije nyumbani kabla familia haijalala? Hakuna bar jirani?
Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao akili zao kama sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Nunua TV nyingine iweke chumbaniKwa kweli sijui niwalaumu hawa wamiliki wa TV Stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana. Kwa akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari, mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja!
Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao akili zao kama sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Kwa hiyo asiangalie taarifa?Siyo rahisi, hapo solution ni baba kumwachia mama TV.
Ila awe anarudi muda ambao taarifa imeshaisha. Hakuna sababu ya kuwahi home kuja kugombana.
Mbona kawaida mkuu.Dah! Nyumba moja tv 2...