MSAADA: Hilda Phoya wa Azam TV ameolewa?

Achana na nyege mshindo dogo,fanya kazi acha kumtegemea shemeji yako

Sasa unasema siwezi ona dada ako kwa sababu ninanunua malaya kumbe na wewe ni mnunuzi mbona hueleweki kua na msimamo angalia usije ukataka kuolewa mkuu

Halafu hapa unaleta mada zisizo eleweka leta mchango unaohusiana na unachokiona hapa sio mambo yako ya ajabu

Mwisho sio kila mtu ni kama wewe anaeishi kwa shemeji yake
Na zaidi kwetu wote ni vidume yaani tunapumulia wachuchu na hapa nina ishi vyema na kila muda nina count dollars mbwa wewe.....wewe kua makini usije pumuliwa na shemeji yako hapo kwa shemeji yako yaani dada ako na wewe msipumuliwe
 
Stalkers wa wanawake maarufu ni watu wa kuogopwa sana. Wengine akili zao hazipo sawa wanawafuata hawa wakina dada mpaka majumbani kwao.
 
Mm ni mstaafu nakula pensheni + pesa toka kwenye lifetime assets zangu.

Sasa wewe ukiwa mzee na unakula pensheni ndio useme wengine ni jobless?

Utakua na matatizo we ajuza wa kiume
 
Sasa wewe ukiwa mzee na unakula pensheni ndio useme wengine ni jobless?

Utakua na matatizo we ajuza wa kiume
Basi nisamehe kijana kwani kbwa jobless ni matusi?
Vijana mna mihemko sana ndio maana wengine wanapata hadi mihemko ya nyuma.
 
Basi nisamehe kijana kwani kbwa jobless ni matusi?
Vijana mna mihemko sana ndio maana wengine wanapata hadi mihemko ya nyuma.

Wanao wakiwa na mihemko tena hadi ya nyuma ukafikiri hata wasio wanao wako kama wanao hapo unakua unakosea sana Mzee

And by the way pole sana kwa kutegemea pensheni nahisi hata nilivyonavyo naweza kukugawia mzee wangu
 
Wanao wakiwa na mihemko tena hadi ya nyuma ukafikiri hata wasio wanao wako kama wanao hapo unakua unakosea sana Mzee

And by the way pole sana kwa kutegemea pensheni nahisi hata nilivyonavyo naweza kukugawia mzee wangu
Kijana wewe bado ni masikini sana elewa hivyo huna kitu cha kunigawia hata ungesema unataka kunipa kitu chako haramu mm situmii hicho kitu kamwe.
 
Mtaani wapo kibao na vyuma balaa shida mnataka umaarufu huyo atakwambia anaenda kurekodi Qatar kipindi kumbe pana mfadhili wa Simba kamrusha huko...utabaki kusononeka baadae unanunua gunia la Mkaa mbona kitaa huku zipo za kumwaga tena pisi kweli na zinajielewa...
 
Hukuu mtaani zipo pisi za moto kam jiko la mkaa unakaa kuwaza hawa malaya walio jipandisha bei mkuu hawa wote wameshapoteza marinda...pisi iliyoenda Dubai. Iliyochora tattoo.inayowaza kila toleo jipya la iPhone.inayo vaa baika weka mbali na mayo wako utakufaaa
 
Yule mchagga alipotelea wapi, nusura aage dunia!! Ofasaro kama sikosei, mtangazaji wa itv, na kuna yule mmasai miaka ya 2000 kama sikosei anaitwa janeti, wako wapi?
 
This boy looks so stressed he needs urgent psychological support

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Sasa how psychriatic you are kuja kuleta bichwa lako hapa na haujaitwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au unataka nikuoe ww badala ya Hilda?
 
quote......... "Nyumba nzuri huwa ina wapangaji wengi".....end of quote

at the end all men and women are cute as we have the same features. Tunachotofautiana ni emotions tu. Unaweza ukakuta hao akina mkabesa na phoya wana emotions mbaya ukiwa naye kama mpenzi huwezi ukamvumilia hata wiki moja, utamkimbia tu. Na utajuta kwa nini ukamfahamu
 
Ndo uzi umeishia hapa ? Mbona sa mleta uzi hajajibiwa swali lake ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…