Ninauliza kufuatia tukio la Bw. Max huku nikilinganisha na lile lilitokea la Apple kule Marekani.
Kama JF ingekuwa kampuni with limited liability, Max angekamatwa au kampuni ndio ingeshtakiwa?
Kule Marekani baada ya FBI kutaka kuchunguza simu za watu waliohusika na ugaidi, Apple walikataa kuwaelekeza namna ya kuhaki simu zile. FBI wakaanza taratibu za kupeleka shauri lile mahakamani mpaka ilipojitokeza kampuni yenye uwezo wa kuhaki. FBI walikuwa wanataka kibali na kwa kuwa ni kampuni hakuna ambaye angeguswa. Sina hakika kwa sheria zetu, njia hii inaweza kutumika?
Kama JF ingekuwa kampuni with limited liability, Max angekamatwa au kampuni ndio ingeshtakiwa?
Kule Marekani baada ya FBI kutaka kuchunguza simu za watu waliohusika na ugaidi, Apple walikataa kuwaelekeza namna ya kuhaki simu zile. FBI wakaanza taratibu za kupeleka shauri lile mahakamani mpaka ilipojitokeza kampuni yenye uwezo wa kuhaki. FBI walikuwa wanataka kibali na kwa kuwa ni kampuni hakuna ambaye angeguswa. Sina hakika kwa sheria zetu, njia hii inaweza kutumika?