Msaada: Hivi U.T.I inatibika?

Msaada: Hivi U.T.I inatibika?

rajiih

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
489
Reaction score
744
Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi.

Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu..,

Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa Kali sana kiasi nilikaa ndani takribani week zaidi bila kwenda Kazini na wakati huu nilipoenda Hospital kupima nilikutwa na aina 3 za ugonjwa ambao ni Typhoid, Wadudu wa Malaria na u.t.i Fastaa Nikanunua dawa na tiba ikaanza.

Baada ya kipindi cha muda mfupi tena U.T.I ikanikamata tenaaa asa imekua kama gonjwa nililozaliwa nalo kila wakati na dawa zao sijui sindano Nishachoma sanaaa lakini wapiiii.

Nawasilisha.
 
NDIO INATIBIKA TUMIA JINA LA YESU NA KUNYWA DAWA ZAKE ZIPO HOSPITALINI
Ona huyu!! We uliona wapi manabii wakaenda kutenda miujiza mahospitalini? Wengi hilo jina wanalitumia kupata maokoto tu, ye abadili daktari atapata tiba sahihi na vipimo, Acha kumlisha matango pori.
 
Kuna pisi unagonga inakuambukiza UTI ni kama STD hivi japo wataalam wanakataa.

Pili UTI iko overated ndio dill la hospitali binafsi Kupiga hela,nenda hospitali ya wilaya au ya binafsi ila kubwa,achana na vidispensary vya vichochoroni,UTI haipimwi kirahi kwa nusu saa kama malaria,unaibiwa
 
UTI inatibika tena vizuri sana na unakuwa poa kabisa Cha msingi nenda hospital kubwa ya binafsi fanya kipimo Cha culture (wao hutamka hivyo sijui ndio inaandikwa hivyo) Kisha watajua sababu na dawa nzuri ya kukupa
Usiende hizi dispensary ndogo ndogo watakujaza madawa hadi yatengeneze usugu
 
Kama wewe ni me yawwzwkana kuwa ke wako anakuuambukiza, au ni nguvu za giza kukufanya msienjoy faragha ya ndoa.

Kwanini wanawake wengi wachanga, najua wengi tu nafahamu maumbile yao hhuwaweka ktk hatari ya maambukizi ila pia wanawake wengi siku hizi wa natumia rangi za kucha wwnyewe huita gel, rangi hizi.

Zimwgunsulika. Kuchagua Sana damu,, na hivyo vibofu hubwba uchafu Mwingi na hivyo kuwa fanya maambukizi kuwa rahisi kwa mwenza.

Vingenevo wachawi hutumia uti Kama njia ya kuwatenganisha wanandoa ktk faragha.... Uwe mwombaji🙏🙏
 
Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi.

Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu.., Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa...
Fanya Kuua Cycle ya Ugonjwa kwa kufanya Partner Treatment
 
Back
Top Bottom