Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hivi vyoo vya kisasa vya maji ndio vinachangia sana kusambaza U.T.IHabari wana Jf poleni na majukumu ya kazi.
Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu.., Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa Kali sana kias...
Hata ukitumia dawa kujitibu mwili bado Bakteria wanabaki kwenye maji
Ukiwa na tabia ya kumwaga Mafuta ya taa kwenye maji baada ya kujisaidia (Hususan Mwanamke) na kwenye kile kitundu cha kutolea maji nje wakati wa kuoga inaondoa kabisa bakteria wa U.T.I