Msaada: Hivi U.T.I inatibika?

Msaada: Hivi U.T.I inatibika?

Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi.

Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu.., Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa Kali sana kias...
Hivi vyoo vya kisasa vya maji ndio vinachangia sana kusambaza U.T.I

Hata ukitumia dawa kujitibu mwili bado Bakteria wanabaki kwenye maji

Ukiwa na tabia ya kumwaga Mafuta ya taa kwenye maji baada ya kujisaidia (Hususan Mwanamke) na kwenye kile kitundu cha kutolea maji nje wakati wa kuoga inaondoa kabisa bakteria wa U.T.I
 
Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi.

Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu..,

Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa Kali sana kiasi nilikaa ndani takribani week zaidi bila kwenda Kazini na wakati huu nilipoenda Hospital kupima nilikutwa na aina 3 za ugonjwa ambao ni Typhoid, Wadudu wa Malaria na u.t.i Fastaa Nikanunua dawa na tiba ikaanza.

Baada ya kipindi cha muda mfupi tena U.T.I ikanikamata tenaaa asa imekua kama gonjwa nililozaliwa nalo kila wakati na dawa zao sijui sindano Nishachoma sanaaa lakini wapiiii.

Nawasilisha.
Mkuu pole kwa maradhi yako nitafute mimi kwa wakti wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Back
Top Bottom