Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Nipo na doctor light now kaniambia no need of (PEP) Baada ya maongezi ya muda mrefu hapa kwa kakope hosptal ya masister daaah kanitoa wasi wasi woote yani huyo doctor ni fundii
Ila Demu anajielewa sana kaniambia kama wanawake wote wangekua hiv pasingekua na mahambukizi mapya ya ukimwi santeni kwa ushauri wenu
 
Hiyo ipo sana kitaa, halafu girls huwa hawawezi kumhisi mtu mgonjwa, hata akitokea mwanaume anayekohoa huku amekondeana lakini ana ka-vitz basi wanafurahia sana, hawakatai.
 
hii ni kama mateso ya Yesu, aliomba kikombe cha mateso na shuluba kimuepuke lakini ikabidi asulibishwe kutimiza unabii, na huyu jamaa kauliza kwa jazba huku akiomba visiwe vya ngoma,[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] bahati mbaya ni vyenyewe.
Yani ukitaka kujua uchungu anaouskia,fkiria ndo ur girl siku unamkuta navyo,na huwa mnaenda kavu...HApo sasa
 
Babu unazingua kwa mwendo huu utatukeshesha hapa kwenye uzi wako....em andika kitu kinachoeleweka wengine tunataka kulala tuwahi Ibada asubuhi!!!je uligonga kavu kavu mbichi kabisa au vipi?fanya short n clear hayo ya voda sijui wapi hapa haya-apply tena maana toka mwanzo hukutushirikisha.
 
Hapo gonga Elisa Test kujihakikishia. na kuanzia leo uokoke kabisa
 

Kwahiyo ulitumia ndom?
 
Ishu ni kupima mkuu, kondomu zina shida nyingi
 
Demu wako aliekupigia simu mliachana au mlikuwa pamoja baada ya kushtukia kama unataka kuchepuka na muathirika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…