Nime lazimisha kupima kaniambia aina ila kunitoa wasi wasi kanipima na hii kitu na nyingine kanipa yani majibu hapo hapoView attachment 489902
counsellingMkuu GISAMBO mambo sensitive kama haya usiyaulize ukiwa umepanic yanahitaji canceling na vitu kama hivyo...tuliza akili mtafute doctor mkae akuelekeze uzuri.
daahh yaani unaanza kujutiaMawazo yataharibu kila kitu,starehe nyingne hatar sana
Nime lazimisha kupima kaniambia aina ila kunitoa wasi wasi kanipima na hii kitu na nyingine kanipa yani majibu hapo hapoView attachment 489902
Una uwezo kumfanya asichepuke, mtu huyuhuyu wa kawaida wala si malaikaNatamani mwanaume wangu ashushwe awe malaika asiwe mchepukaji
Ukimwi si kifoKuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
Ndy tunaelekea mochwari muda huu, ahsanteni kwa ufafanuzi
[emoji23] [emoji23] Imposible kuwa 100% perfect,ni kumuomba mungu tu,na ukimpata umthamini..Natamani mwanaume wangu ashushwe awe malaika asiwe mchepukaji
Hiyo undetectable status ndio inakuwaje?darasa kidogo plizKuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
hata mm aisee!!Uuuh kwa mara ya kwanza tangu nimejiunga jf Leo ndio nimefuatilia uzi hadi mwisho.
Unapokunywa dawa na wadudu wanaisha kwenye mzunguko wa damu ila wanabaki wamejificha kwenye chembe (cells) zenye kinga ya mwili ambako ARV haiwezi kufika. Ukiacha kutumia dawa wanarudi tena kwenye mzunguko wa damu na kuanza mashambulizi upya.HNKER-hardsonHiyo undetectable status ndio inakuwaje?darasa kidogo pliz
Monchwari tena,??ndo wanauza hizo pep mkuu??Ndy tunaelekea mochwari muda huu, ahsanteni kwa ufafanuzi
Kuna jamaa simu yake inaita ndy tunaipeleka akapokeeKulikoni huko mochwari?