Na kumbuka ukipewa card, usisite kuchangia,afu ningependelea uwe mcheza show kwenye harusi yetu.Aisee, sijui kama kuna malaika aliyewahi kuoa, ukishushiwa usisahau kunitumia kadi.
Swali la kizushi,wewe kwa siku wastani huwa unatongozwa mara ngapi??Ni kweli. Ila nyinyi mna chance ya kutongoza kila sketi ipitayo. Tofauti na sisi mpaka tutongozwe saa ngapi
AKimwambia ni kweli yy ni muayhirika,lazima chozi limtoke mdauIla mi Nina ushauri kwa mleta mada. Wewe kidume,kidume hupaswi kukimbia tatizo. Hebu mface huyo Dada then mwambie umeona kitu hiko katika mazingira hayo Hapo kwake. Ni vya nini yeye akupe manibu while you have eyes contact and facial expression. Be polite kama utaitumia hii
Ha ha haHuu uzi ushanifanya mpole weekend hii na sehemu niliyopo yale malengo nliyokuja nayo yashakata, UKIMWI usikieni tu kama msiba huwezi elewa hadi ukukute.
Unamaanisha nini kusema jinsia Moja. Ina maana???Nilijua tu mkuu,kule ma aliens huwa hawanaga mahusiano,nadhan wote ni jinsia moja
Usicheke mkuu sio mazuri haya.Ha ha ha
Vigezo vyote ninavyo ila sidhani Kama ntakuwa ...malizia mwenyeweNi pale unapokuwa na kiburi,hutaki kusikiliza maelekezo ya mmeo, rafiki zako wanakupeleka kwenye makundi mabaya, hutaki kuona ndugu wa mme, mmeo akikuelekeza kitu hutaki kujishusha unambishia,unataka kuchukua nafasi ya kiongozi wa familia,ujuajijuaji
Ukiweza hayo, unaweza kuwa mke halali
A jokeUnamaanisha nini kusema jinsia Moja. Ina maana???
Samahani lakini nimecheka sanaaa. Duh!!!Huu uzi ushanifanya mpole weekend hii na sehemu niliyopo yale malengo nliyokuja nayo yashakata, UKIMWI usikieni tu kama msiba huwezi elewa hadi ukukute.
Hiyo laazizi. Umenikumbusha mbaliii.Mim hapa hata siwez kuhangaika na mwingine ukiwa upo lahazizi!......
Ni vema ukajua ukweli. Kuliko kuwa na mashaka moyoni. Machozi how many times ushayatoa???u put pride on machozi??? Hapana mkuuAKimwambia ni kweli yy ni muayhirika,lazima chozi limtoke mdau
Inategemea.Kama upo,nyumbani tu. Tena ndani atakutongoza nani.??Swali la kizushi,wewe kwa siku wastani huwa unatongozwa mara ngapi??
Dah!!Hii ID yako ni hatari sana kwa kweli[emoji85] [emoji85]Doctor [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Haiwezekani usiende hata dukani,mfano mwanafunzi au mfanya kazi,wangap ni mastranger na namba unawapaInategemea.Kama upo,nyumbani tu. Tena ndani atakutongoza nani.??
Ni kweli,ila kabla hajaenda kumona asali kwanza na afunge hata siku mbili tu,Ni vema ukajua ukweli. Kuliko kuwa na mashaka moyoni. Machozi how many times ushayatoa???u put pride on machozi??? Hapana mkuu