Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Mie nataka kujua msimamo wa mleta uzi baada ya yote haya;je wataendeleza tuu kwa kutumia ndom?je atamkacha mazima pasipo kumwambia sabab?au ndio ataamua afunge nae kabisa ndoa wazae na watoto?
 
Mkuu ulibaka? kurupushani Zote condom haiku pasuka
 
Mie nataka kujua msimamo wa mleta uzi baada ya yote haya;je wataendeleza tuu kwa kutumia ndom?je atamkacha mazima pasipo kumwambia sabab?au ndio ataamua afunge nae kabisa ndoa wazae na watoto?

Ww ungeweza kuendelea?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…