Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Kwa lecture niliyopewa leo nimepewa tips za kuweza kufanya naye mapenzi kwa kutumia condom au bila condom hila hii ya kavu sito itumia pia jinsi ya kuishi naye adi siku atakayo gundua me najua kuwa yeye nimuathirika nimesisitiziwa sana juu ya mahusiono yetu na nimepewa adi stori ya kupiga naye kabla ya tendo daah Madoctor ni shidaah kesho naenda nae movies au beach
Safi sana,kama ni mzuri kama ulivyosema,usimuache..E notationdelea kula mzigo
 
Nipo na doctor light now kaniambia no need of (PEP) Baada ya maongezi ya muda mrefu hapa kwa kakope hosptal ya masister daaah kanitoa wasi wasi woote yani huyo doctor ni fundii
Ila Demu anajielewa sana kaniambia kama wanawake wote wangekua hiv pasingekua na mahambukizi mapya ya ukimwi santeni kwa ushauri wenu
Hongera mkuu
 
Nipo na doctor light now kaniambia no need of (PEP) Baada ya maongezi ya muda mrefu hapa kwa kakope hosptal ya masister daaah kanitoa wasi wasi woote yani huyo doctor ni fundii
Ila Demu anajielewa sana kaniambia kama wanawake wote wangekua hiv pasingekua na mahambukizi mapya ya ukimwi santeni kwa ushauri wenu
Hakuna kipimo bongo kinachoweza kukupa majibu ya hiv ndani ya muda mfupi hivyo, nenda hospital ya serikali upewe PEP kama emergency tu.
 
Nilifanikiwa kula mzigo without those hot kiss cos alikua anakwepa nikala mzigo kibishi tuuuh mzeee mpaka mornie mwenzangu akuwa anaonyeshe kuridhika sijui sababu nilimforce sawa nikachukulia kawaida sasa zile kurupushani za usiku zile mpaka vitu vingi kuanguka chin yani vilikua shangala bagala akaenda kuoga na mim nianze kutafuta boxer yangu sijui imeanguka upande gani ndio kukutana na hizo kama nane hv zipo chin mhhh kwa sikushtuka ila nikahis kitu nikasema ngoja nichukue kimoja nikaweka kwenye mfuko leo hiyoo nikaenda muuliza mwanangu yeye kashaumwaga krb magonjwa mengi sana nikamuulize ebwana unavijua hiv babu akaniambie eti vitakua vyo kuongeza damu hiv nishatumiaga sema vidogo vyake hiv vikubwa sana kuna mwana mwingine akandandia arv hivyooo wewe nishaviona sehemu Moyo ukafanya paah aisee niliishiwa nguvu bdae akaniambia ila sina uhakika ndio mimi kuna hapa jf ila yule mwanamke ajui chochote
Daaaaah tayari marehem mtalajiwa
Ni ARV. Trust me

Nitakuja kutoa maoni yangu,usijali
 
Kama umeshiriki tendo la ndoa kabla masaa 72 wahi upate huduma ili uanze kutumia PEP kwa ajili ya kujikinga na maambuki......hii imesaidia watu wengi alafu ukizingatia kama anatumia dawa zake vzur idadi ya viral load itakuwa ndogo hivyo possibility ya kuwa infectected inakuwa ndogo....ila kama uko ndani ya mda nakushauri uwahi kitu cha afya ili uweze pata hiyo huduma
 
Back
Top Bottom