Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Kwa lecture niliyopewa leo nimepewa tips za kuweza kufanya naye mapenzi kwa kutumia condom au bila condom hila hii ya kavu sito itumia pia jinsi ya kuishi naye adi siku atakayo gundua me najua kuwa yeye nimuathirika nimesisitiziwa sana juu ya mahusiono yetu na nimepewa adi stori ya kupiga naye kabla ya tendo daah Madoctor ni shidaah kesho naenda nae movies au beach
Dhu! Ujipendi wewe
 
Kupima ndo usalama zaidi. Hizo condom ni mbwembwe tu. Zikipasuka je. Upate pressure Kama ya mtoa mada. Anashindwa hata kutupa full story. Analeta nusu nusu. Hiyo kitu ni hatari asee
Daaah hadi nimesinyaaa, hivi vidonge nasikiaga tu sjawahi kuviona, nimeogopa sana acha nitulizane tu
 
Nipo na doctor light now kaniambia no need of (PEP) Baada ya maongezi ya muda mrefu hapa kwa kakope hosptal ya masister daaah kanitoa wasi wasi woote yani huyo doctor ni fundii
Ila Demu anajielewa sana kaniambia kama wanawake wote wangekua hiv pasingekua na mahambukizi mapya ya ukimwi santeni kwa ushauri wenu
Nakushauri usimweleze kwa haraka
 
Huyo ex wako alikuwa anakupenda sana
... Ni kweli, yaani siku hiyo kuna rafiki yake alituona ndo akampigia simu, kabla ya kunipigia alituma msg but nikawa sijacheki, ndo akaamua kunipigia. Niliporudi hiyo safari nikamtafuta maana pamoja na msaada wake kujilisha pia nilitaka kujua alijuaje kwamba muda ule nilikuwa na yule mlimbwende, mpaka na guest. A kaniambia kuna rafiki yake alituona na akamstua, yeye akamuomba atufuatilie mwanzo mwisho. Maisha haya...
 
kama umevikuta Shem kavificha Anza2 kuuza Mali zako uwagawie masikini Usisahau kunipatia hiyo Smartphone yako
 
Nipo na doctor light now kaniambia no need of (PEP) Baada ya maongezi ya muda mrefu hapa kwa kakope hosptal ya masister daaah kanitoa wasi wasi woote yani huyo doctor ni fundii
Ila Demu anajielewa sana kaniambia kama wanawake wote wangekua hiv pasingekua na mahambukizi mapya ya ukimwi santeni kwa ushauri wenu
Polee sana mkuu..

Karibu tena, Edward M memorial Health Centre
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
niliwahi kuviona polisi,mtu anawekwa ndani akasena hivi niachieni,vilikuwa vyeupe sasa kwa hivi sijui,kwani umevitoa wapi mkuu.
 
By the way [HASHTAG]#GISAMO[/HASHTAG] unatakiwa umheshimu sana coz ulichokua unataka kufanya ni sawa na kumlazimisha mtu akudunge sindano ya sumu bila ridhaa yake.

Huyo dada kafanya hivyo kwavile umemsaidia kwa dhati from joblessness to employment. Ndo ameshakulipa tayari.
 
Hahaha! Yaani dawa zozote tu ni za kuweka mbali!!! Unaweza mpa presha mwenzako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu tunatakiwa tuwe wakweli tuu..

Kuchepuka ni raha wakati wa kujikwachetua tuu...ukimaliza ukaona mtu anameza dawa ndo utajua kuchepuka sio ishu
 
Ntoa mada andika wosia na uchague makaburi unayopenda ukapumzike kwa amani siku zikitimia.Najua hata sisi tunaweza kutangulia tukakuacha ila wewe umetia sign ya kupumzika kwa amani.
 
Back
Top Bottom