Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Naomba nikiugua uwe daktari wangu wa Jf tehNi zenyewe
Wewe ungekua unafanya kaz hospital na ukawa kitengo cha upimaji bas ungeacha kuzini maana binafsi hua wengin nawashangaa kua hata huyu anao yaan nabak sina nenokwa mbaaali naanza amini ukimwi upo.
Kuna watu wanatumia pesa nyingi sana kufanya visherehe uchwara. Bora hizo pesa wangekuwa wakizitumia kwa kutembelea wodi za wagonjwa hasa wanaoishi na vvu. Hakika watajifunza mengi sana.Wewe ungekua unafanya kaz hospital na ukawa kitengo cha upimaji bas ungeacha kuzini maana binafsi hua wengin nawashangaa kua hata huyu anao yaan nabak sina neno
HahahahahahaNaomba nikiugua uwe daktari wangu wa Jf teh
Kuna vitu nimejifunza kwa members.Hahahahahaha
Weka picha nusu yani usituoneshe sura!!Jamani ukimwi Upo aupimwi kwa macho ata kidogo aiseee msimuamin mtu ata awe mzuri vip cos nikiwadondoshea picha hapa akuna atakaye Amini japo siwezi kuweka picha
aweke kuanzia kifua kushuka chiniWeka picha nusu yani usituoneshe sura!!
Naona unapewa hongera kwa uamuzi huu ila shetani unamjua vizuri wewe ? Abdalah kichwa wazi akisimama hata muda wa kuwaza hizo tips sijui za namna ya kufanya na mgonjwa hutakuwa naoKwa lecture niliyopewa leo nimepewa tips za kuweza kufanya naye mapenzi kwa kutumia condom au bila condom hila hii ya kavu sito itumia pia jinsi ya kuishi naye adi siku atakayo gundua me najua kuwa yeye nimuathirika nimesisitiziwa sana juu ya mahusiono yetu na nimepewa adi stori ya kupiga naye kabla ya tendo daah Madoctor ni shidaah kesho naenda nae movies au beach
habari za leoNaona unapewa hongera kwa uamuzi huu ila shetani unamjua vizuri wewe ? Abdalah kichwa wazi akisimama hata muda wa kuwaza hizo tips sijui za namna ya kufanya na mgonjwa hutakuwa nao
Chezea sharubu tu za babu ....
Salama mama ntilie mambo ? Habari ya hapo Mwanza ?habari za leo
Nzuri, ulipotea potea aiseeSalama mama ntilie mambo ? Habari ya hapo Mwanza ?
Nipo sana nachungulia tu si unajua tena kazi za kukata mkaa muda mwingi unakuwa poriniNzuri, ulipotea potea aisee
hahahahahaahahah, kumbe na wewe ni miongoni mwa wanaoharibu misitu! hahahahah, ukikata mti mmoja unakumbuka kupanda mwingine au?Nipo sana nachungulia tu si unajua tena kazi za kukata mkaa muda mwingi unakuwa porini
Hahahahahah miti mimi sipandi bana mbona wanahamisha mchanga wetu wa almasi wanatuachia mashimo ? Wacha na mimi niwasaidie kutengeneza jangwahahahahahaahahah, kumbe na wewe ni miongoni mwa wanaoharibu misitu! hahahahah, ukikata mti mmoja unakumbuka kupanda mwingine au?
hahahahahaahahah, kumbe na wewe ni miongoni mwa wanaoharibu misitu! hahahahah, ukikata mti mmoja unakumbuka kupanda mwingine au?
Mie natumia gas, mafuta ya taa na moto poa, hahahahahahahahahahhaahahaBila kuharibu misitu wewe mama ntilie hujapata mkaa wa kupikia chakula chako...
Bora mimi msusi natumia nguvu zangu tu...
Mkuu ebu sijaelewa kunawa fasta kivipi yani ....naomba nijibu tafadhaliHahahah. Mbavu zangu mkuu. Kumbuka kuna watu kinga ya mwili imeshuka sana kutokana either na dawa kushindwa kazi au uzembe wa kumeza dawa,hivo chance ya kupata ngoma inaongezeka hata kama umenawa faster. Cha msingi tumia kinga na usipende michepuko.