Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
Shukrani Mkuu kwa Muongozo.LG systems ambazo nilikuwa nazo zote zilikuwa dull. Ila kwa ukubwa wa hio system yako sina shaka mdundo utakuwepo kwa kiwango gani sifahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani Mkuu kwa Muongozo.LG systems ambazo nilikuwa nazo zote zilikuwa dull. Ila kwa ukubwa wa hio system yako sina shaka mdundo utakuwepo kwa kiwango gani sifahamu.
Tuki compare na DAV Z650 boss ipi ni iko vizuri Boss?LG systems ambazo nilikuwa nazo zote zilikuwa dull. Ila kwa ukubwa wa hio system yako sina shaka mdundo utakuwepo kwa kiwango gani sifahamu.
DZ650 ni 1000watts mziki wake umeshiba haswa, sidhan kama LG atauzidi ubora wa huo mziki
Kuna Mwamba ana pc moja sema anauza tamaa sababu sikuhizi hazipo hizo model jamaa anaitoa kwa 950kDZ650 ni 1000watts mziki wake umeshiba haswa, sidhan kama LG atauzidi ubora wa huo mziki
Wanaweza wakawa sawa kabisa, LG sio Music oriented company.Kuna Mwamba ana pc moja sema anauza tamaa sababu sikuhizi hazipo hizo model jamaa anaitoa kwa 950k
Kwamba Sony ya watts 1000 anamzidi huyu wa lg watts 1200 Boss!
Daaah hiyo LHD 756 LG Home theater ni balaa jingine Kaka, huwa nafungulia volume 22 tu majirani wanateseka na mdundo wa muziki mnene hadi hunilazimu kuweka volume 16 tu.Wanaweza wakawa sawa kabisa, LG sio Music oriented company.
HahahahDaaah hiyo LHD 756 LG Home theater ni balaa jingine Kaka, huwa nafungulia volume 22 tu majirani wanateseka na mdundo wa muziki mnene hadi hunilazimu kuweka volume 16 tu.
Kuna siku nilijikuta naipimia uwezo wake volume 40, nililetewa salamu hadi mtaa wa pili kwamba kuna sherehe ninapoishi.
Nashukuru kwa hii elimu kiongozi unayotoa endelea kuwa na moyo huo Mtaalamu.Wanaweza wakawa sawa kabisa, LG sio Music oriented company.