mr traders
Member
- Oct 27, 2012
- 38
- 15
hellow wadau kama week moja iliyopita nilifanya interview kampuni ya multchoice(dstv) nafas za sales na nimefanikiwa kupata na tunatatikiwa kwenye training tarehe 23/11/2012, naomba anayejua kiwango cha mshara wanacholipa? na training inachukua muda gan? asanteni wadau