Kichocho/schistosomiasis/snail fever tunapima kwenye mkojo na choo.
Kwenye mkojo ni schistosoma haematobium na choo ni Schistosoma mansoni kwa mpimaji yupo right
Dawa ni praziquantel 40mg/kg in divided doses sijui kama waliwapa iyo dawa ni muhimu sana kwani usipotibiwa mapema utaleta shida kwenye ini na kuishia kupata magonjwa kama portal hypertension/Oesophageal varices na pia kwa Amiba anaeza pata amoebic liver abscess.
Kwa ushauri aende hospital kubwa akafanye vipimo zaidi vp anafanya kazi za majimaji kama vile uvuvi au mashamba ya mpunga/vitunguu?
Izo ziko kama warts au herpes zooster sababu zinatabia ya kufauta dermatone la msingi aende hospitali kubwa tuu