Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Msaada tafadhali hii ni homa gani na dawa yake nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nacheka kama mazuri ngono zembe 😂😂😂🙌pole sana ,umewahi kushiriki ngono zembe, umebadili mazingira au kula kitu pipya hivi karibuni?
Oya ushayakanyaga hio ni syphil level 2 katafute dawa za magonjwa ya ngono tena usiende local pharmacy nenda hospitali upimwe upewe dawa na sindanoMsaada tafadhali hii ni homa gani na dawa yake nini?
ni badhi ya maswali lazima ayajibu ili kupata usaidiziNacheka kama mazuri,, ngono zembe 😂😂😂🙌
sawasawa doctor 😊🤗ni badhi ya maswali lazima ayajibu ili kupata usaidizi
Kayakanyaga asee mwamba ana kaswende alafu ishafika level 2 dah soon ataanza kuwa na matatizo ya ubongopole sana ,umewahi kushiriki ngono zembe,umebadili mazingira au kula kitu kipya hivi karibuni
Jamani😃😃😃,,mpeni maneno ya kumtia moyo mgonjwa 😊🙌Kayakanyaga asee mwamba ana kaswende alafu ishafika level 2 dah soon ataanza kuwa na matatizo ya ubongo
PoleMsaada tafadhali hii ni homa gani na dawa yake nini?
Wewe kuna sabuni au vipodozi umetumia vimekudhuru tafuta Daktari wa magonjwa ya ngozi akusaidie ubaya hio ipo ndani ya ngozi na ishafika kwenye mzunguko wa damu yaani hapo unaenda kupatiwa dawa ya kupaka na kumeza ili kuuondoa huo ugonjwa wako, angalieni na vipodozi mnavyopaka wakati mwingine sio kila sabuni ni rafiki kwa ngozi yakoMsaada tafadhali hii ni homa gani na dawa yake nini?
Kuna magonjwa yabkutia mtu moyo ila kaswende alooo akajitibie asije kua chizi au ingia google andika syphil alafu uone dalili zake na madhara yakeJamani😃😃😃,,mpeni maneno ya kumtia moyo mgonjwa 😊🙌
Hadi nimeogopa[emoji8Msaada tafadhali hii ni homa gani na dawa yake nini?
binafsi nilivyo ona kwenye mkono kama hali ipo hivyo huwenda viganja vimeadhirika zaidi na kama ana vipele vya homa mdomoni kwisha mchezoKayakanyaga asee mwamba ana kaswende alafu ishafika level 2 dah soon ataanza kuwa na matatizo ya ubongo
kwakweli awahi hospitali yeye na mwenza wake kabla hali haijawa mbaya zaidi 😌😌Kuna magonjwa yabkutia mtu moyo ila kaswende alooo akajitibie asije kua chizi au ingia google andika syphil alafu uone dalili zake na madhara yake
nyie madokta hapana kwakweli 😂😂😂🙌binafsi nilivyo ona kwenye mkono kama hali ipo hivyo huwenda viganja vimeadhirika zaidi na kama ana vipele vya homa mdomoni kwisha mchezo
kikubwa awahi hospitali japo ni kwa kuchelewa ni bora kuliko kutofika kabisanyie madokta hapana kwakweli 😂😂😂🙌