Greatthinker47
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 145
- 260
Habarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?