Msaada: Huyu dada anataka nini?

Msaada: Huyu dada anataka nini?

1000105281.jpg
Kwa kweli sina ushauri zingatia tu hiyo picha bwana mdogo. Asante
 
Huyo Dada anachokitaka unakijua ila wajitoa Ufahamu. Ila Muhimu Umuulize Ndio utatatua Swalilako..!!! Na mashaka juu Yako.
 
Habarini jamani,

Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo

Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.

Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?

Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Huyo Binti ata Ukiblock aitasaidia. Swala la busara na lenyetija, Nikumwambia Alie naye kwa Busara na Maneno yenye Tija. Na humsii Mtu wake amueleze Mbele yako kwa kumkanya. Maana ukikaa kimya utaja geukwa Ndugu Hivyo..!!
 
imenikuta juz kat inafanana na yako, demu we had a thng ila ikaisha akaolewa na mm nikaoa, sasa juzi kati kaja nilipo kumsalimia ndugu yake, huyo ndugu ananifahamu pia, akanijulisha yupo kwa ndgu yake ni jirani tu just a few mnts walk, akaniomba sana niende kumsalimia, ephen_ nimalizie?
 
MKE WA MTU NI SUMU. Heshimu ndoa ya mwanaume mwenzio.
 
Malizia mkuu
basi bwana nikakubali kwenda, nilienda mida ya saa 2 kasoro usiku, nikamkuta barazan na huyo ndgu yake, akasimama akaniniambia hi n, akanihug, we hugged tightly fo like 30sec, mpaka huyo ndgu yake akasema basi imetosha ila nyie watu bado mna ktu kat yenu, nikacheka tu, akanitumia text, what a hug, nikajbu, irudiwe, akacheka

Tukapiga story pale badae nikaaga niondoke, akaniambia ngoja nikutoe, tukafika nje ya get tukasimama, tukawa hata hatuongei tunaangaliana tu, tulijikuta tu tunaanza kukiss, we kissed for a while then akaniambia pls go before we do somthng crazy.

Badae akanitext oooh what a sweet kiss, nimeenda looo nimejkuta nimelowa, next txt am in bed now wishing yu were beside me giving me tht deep sweet kiss.

Kabla hajaondoka alitaka niende tena ila nikakataa, nakiri bado ni mtamu kama zamani tu, mara nyingi tukichat huwa tunajiulizaga, hv kwa nn hatukuoanaga?
 
basi bwana nikakubali kwenda, nilienda mida ya saa 2 kasoro usiku, nikamkuta barazan na huyo ndgu yake, akasimama akaniniambia hi n, akanihug, we hugged tightly fo like 30sec, mpaka huyo ndgu yake akasema basi imetosha ila nyie watu bado mna ktu kat yenu, nikacheka tu, akanitumia text, what a hug, nikajbu, irudiwe, akacheka

Tukapiga story pale badae nikaaga niondoke, akaniambia ngoja nikutoe, tukafika nje ya get tukasimama, tukawa hata hatuongei tunaangaliana tu, tulijikuta tu tunaanza kukiss, we kissed for a while then akaniambia pls go before we do somthng crazy.

Badae akanitext oooh what a sweet kiss, nimeenda looo nimejkuta nimelowa, next txt am in bed now wishing yu were beside me giving me tht deep sweet kiss.

Kabla hajaondoka alitaka niende tena ila nikakataa, nakiri bado ni mtamu kama zamani tu, mara nyingi tukichat huwa tunajiulizaga, hv kwa nn hatukuoanaga?
Kwahiyo ulimla tena hadi umejua bado ni mtamu, hujali kuhusu mke wako akijua atajisikiaje? Huyo ex gf ambae sasa ni mchepuko anaweza kukuletea magonjwa
Tulizana na mkeo.......!!!!!!!
 
Huyo Binti ata Ukiblock aitasaidia. Swala la busara na lenyetija, Nikumwambia Alie naye kwa Busara na Maneno yenye Tija. Na humsii Mtu wake amueleze Mbele yako kwa kumkanya. Maana ukikaa kimya utaja geukwa Ndugu Hivyo..!!
Mkuu bila shaka wewe ni mwenyeji wa Tanga sivyo?
 
Kwahiyo ulimla tena hadi umejua bado ni mtamu, hujali kuhusu mke wako akijua atajisikiaje? Huyo ex gf ambae sasa ni mchepuko anaweza kukuletea magonjwa
Tulizana na mkeo.......!!!!!!!
sikumla madame we just kissed, kwenye kissing ndo nimesema bado ni mtamu, halafu ni mke wa mtu unajua, ila lazima nimle hata mara moja ya mwisho wallah,

Utanisamehe kama nimekukwaza ila lazima nilick pussy yake tena, najua na yy anasubiriaga tu nimwambie.

Hv ni mm naandika haya?
 
Back
Top Bottom