Humu jf ushauri tunatoaga ijumaa jioni tu.Ameomba ushauri.
UnariiiingaHumu jf ushauri tunatoaga ijumaa jioni tu.
Huyo Binti ata Ukiblock aitasaidia. Swala la busara na lenyetija, Nikumwambia Alie naye kwa Busara na Maneno yenye Tija. Na humsii Mtu wake amueleze Mbele yako kwa kumkanya. Maana ukikaa kimya utaja geukwa Ndugu Hivyo..!!Habarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
basi bwana nikakubali kwenda, nilienda mida ya saa 2 kasoro usiku, nikamkuta barazan na huyo ndgu yake, akasimama akaniniambia hi n, akanihug, we hugged tightly fo like 30sec, mpaka huyo ndgu yake akasema basi imetosha ila nyie watu bado mna ktu kat yenu, nikacheka tu, akanitumia text, what a hug, nikajbu, irudiwe, akachekaMalizia mkuu
Kwahiyo ulimla tena hadi umejua bado ni mtamu, hujali kuhusu mke wako akijua atajisikiaje? Huyo ex gf ambae sasa ni mchepuko anaweza kukuletea magonjwabasi bwana nikakubali kwenda, nilienda mida ya saa 2 kasoro usiku, nikamkuta barazan na huyo ndgu yake, akasimama akaniniambia hi n, akanihug, we hugged tightly fo like 30sec, mpaka huyo ndgu yake akasema basi imetosha ila nyie watu bado mna ktu kat yenu, nikacheka tu, akanitumia text, what a hug, nikajbu, irudiwe, akacheka
Tukapiga story pale badae nikaaga niondoke, akaniambia ngoja nikutoe, tukafika nje ya get tukasimama, tukawa hata hatuongei tunaangaliana tu, tulijikuta tu tunaanza kukiss, we kissed for a while then akaniambia pls go before we do somthng crazy.
Badae akanitext oooh what a sweet kiss, nimeenda looo nimejkuta nimelowa, next txt am in bed now wishing yu were beside me giving me tht deep sweet kiss.
Kabla hajaondoka alitaka niende tena ila nikakataa, nakiri bado ni mtamu kama zamani tu, mara nyingi tukichat huwa tunajiulizaga, hv kwa nn hatukuoanaga?
siyo poleAmeomba ushauri.
Mkuu bila shaka wewe ni mwenyeji wa Tanga sivyo?Huyo Binti ata Ukiblock aitasaidia. Swala la busara na lenyetija, Nikumwambia Alie naye kwa Busara na Maneno yenye Tija. Na humsii Mtu wake amueleze Mbele yako kwa kumkanya. Maana ukikaa kimya utaja geukwa Ndugu Hivyo..!!
Mpe mkeo pesa asimsumbue kijanaAisee dogo achana na mke wangu haraka!
Mtoto halali na helaMpe mkeo pesa asimsumbue kijana
Ngoja uchapiwe
AyaNgoja uchapiwe
sikumla madame we just kissed, kwenye kissing ndo nimesema bado ni mtamu, halafu ni mke wa mtu unajua, ila lazima nimle hata mara moja ya mwisho wallah,Kwahiyo ulimla tena hadi umejua bado ni mtamu, hujali kuhusu mke wako akijua atajisikiaje? Huyo ex gf ambae sasa ni mchepuko anaweza kukuletea magonjwa
Tulizana na mkeo.......!!!!!!!